ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,249
Wale waxkuzimia siku mbili,mi nadhani kwa waislamu huwa wanazinfukia kaburini huko.Mbaya zaidi ufufuke kule chini na hata ukiita hawasikii. (Uzikaji wa waislamu kumbe mtu kazimia.)
Wale waxkuzimia siku mbili,mi nadhani kwa waislamu huwa wanazinfukia kaburini huko.Mbaya zaidi ufufuke kule chini na hata ukiita hawasikii. (Uzikaji wa waislamu kumbe mtu kazimia.)
Siyo kweli. Mtu akishafukiwa kule chini hakuna hewa na hakuna mdudu anaweza kuishi. Hivyo mwili ukauka na kubaki ulivyo. Uliza wanaifukua makaburi!Siku ya 3 - kucha huanza kuanguka /kutoka mikono na miguu
Siku ya 4- Nywele huanza kutengana na fuvu la kichwa.
Siku ya 5- ubongo huanza kuyeyuka na wadudu huanza kula
Siku ya 6- Ngozi huanza kuwa nyeusi tii na kuanza kuchubuka
Siku ya 7- Tumbo huanza kuyeyuka kutokea mdomoni na sehemu za siri huanza kutoa harufu kali sana.
Siku ya 60 - Mwili wote unakuwa tayari umetafunwa na vidudu na kubaki mifupa tu.
Ni mwisho wa
Dharau zako.
Kiburi chako.
Majivuno yako.
Chuki zako.
Tamaa zako.
Siku ya 3 - kucha huanza kuanguka /kutoka mikono na miguu
Siku ya 4- Nywele huanza kutengana na fuvu la kichwa.
Siku ya 5- ubongo huanza kuyeyuka na wadudu huanza kula
Siku ya 6- Ngozi huanza kuwa nyeusi tii na kuanza kuchubuka
Siku ya 7- Tumbo huanza kuyeyuka kutokea mdomoni na sehemu za siri huanza kutoa harufu kali sana.
Siku ya 60 - Mwili wote unakuwa tayari umetafunwa na vidudu na kubaki mifupa tu.
Ni mwisho wa
Dharau zako.
Kiburi chako.
Majivuno yako.
Chuki zako.
Tamaa zako.
Eti BRO.,Pole sana bro, hakika inaumiza sana
Nashukuru sana, pole pia....Nakuombea amani katika kipindi hiki kigumu kwako na wapendwa wako... Najua unachopitia, nilipoteza mtu wangu wa karibu mwanzoni mwa 2024 na sijawahi kupona hadi leo, kuna siku maumivu yanakua makali kuliko ile siku tukio limetokea... Kuna kipindi namuota hata wiki mfululizo, ni maumivu ambayo sitamani mtu mwingine apitie.
Kama ulitenda mazuri duniani hutapata shida. Malaika wa heri watakuwa wanakupa companynishawahi kuwaza ukishastuka sijui inakuwaje kule chini upo mwenyew hakuna msaada daah
Hata km ila ndo tulimkuta hivyoo.Kwamba ana nywele? Kama alitolewa mochwari mkaenda kumzika huenda waliomba apuliziwe dawa ili achelewe kuoza lkn ukweli ni kwampa hio melanin pigment na keratin zinakuwa not secreted out kwaio au niishie hapo tu
Ulichoandika yawezekana ni kweli, maana nimewahusikia kua mtu akifa kucha huendekea kukua,nilisikiaga kuna utafiti ulifanyikaga na Prof.Sarungi.Hata km ila ndo tulimkuta hivyoo.
Mie nimesema pia, tulishawahi kufukua maiti iliyozikwa, na kwenda kuzika sehemu ingine,Siyo kweli. Mtu akishafukiwa kule chini hakuna hewa na hakuna mdudu anaweza kuishi. Hivyo mwili ukauka na kubaki ulivyo. Uliza wanaifukua makaburi!
Asante kwa faraja, mkuu. Asante sana.Pole sana Mwenyezi Mungu aendeele kuuponya moyo wako kadri siku zinavyokwenda.
Pole sanaNashukuru sana, pole pia....
Nilishafiwa hadi na mzazi ila hii ya sahivi mmh haiponi. 😢
duuh afu kuna member anasema eti miaka kumi 13 na bado hajaoza 😁Inashangaza kuona manzi anamwambia mwanaume aliyemtongoza kuwa sio type yake
Jamaa anavunja sheria halafu anatamba akisema unanijua mimi ni nani
Hiyo ni mifano michache tu ya aina ya watu wenye kiburi na majivuno
Acheni usenge nyinyi wenye majivuno mwisho wetu sote ni huu hapa:
View attachment 3462132
Mie sio nimesikia, hii ilitokea kwetu, ni baba angu mkubwa, kizazi ki1 na baba angu mzazi,Ulichoandika yawezekana ni kweli, maana nimewahusikia kua mtu akifa kucha huendekea kukua,nilisikiaga kuna utafiti ulifanyikaga na Prof.Sarungi.
Sasa km ni uongo bas haya, sina la zaidi kukuhakikishia.Kwamba miaka 13?? 🤣🤣🤣 uongo wa level z phd