Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 5,944
- 22,256
Bibie Chura Kiziwi mama wa K vant.Mkuu....
Ungemtaja mgombea wa chama ambae huu ujumbe unamuhusu...🙃
Bibie Chura Kiziwi mama wa K vant.Mkuu....
Ungemtaja mgombea wa chama ambae huu ujumbe unamuhusu...🙃
Kifo hakikwepeki we are not here to live forever ...What the meaning of life and living.? Knowing that one day you gonna rot on the ground forever and you'll never be alive again.
"If You Work For A Living, Why Do You Kill Yourself Working?" And I'm asking if we live so we can die why do we born?? Au unamatumaini ya kwamba one day mtafufuliwa upya na kuishi tena?Kifo hakikwepeki we are not here to live forever ...
Enjoy every second to the fullest 🥳🎉🎉🎉🎉🎉
Nakuombea amani katika kipindi hiki kigumu kwako na wapendwa wako... Najua unachopitia, nilipoteza mtu wangu wa karibu mwanzoni mwa 2024 na sijawahi kupona hadi leo, kuna siku maumivu yanakua makali kuliko ile siku tukio limetokea... Kuna kipindi namuota hata wiki mfululizo, ni maumivu ambayo sitamani mtu mwingine apitie.Ahsante 😢
Kuna post nimesoma umekwotiwa, ni kweli au utani kama kawaida yako?Ahsante 😢
Hapana sio utani ni kweli, hili jambo linaniumiza sana hata halipoiKuna post nimesoma umekwotiwa, ni kweli au utani kama kawaida yako?
Ooh pole sana Eve, alikuwa mkubwa?Hapana sio utani ni kweli, hili jambo linaniumiza sana hata halipoi
Naunga mkonoNitaandika usia wanichome aisee kufukiwa mwenyew chini sio kitu rahisi ujue
Alikua na miaka 6 ahsante.Ooh pole sana Eve, alikuwa mkubwa?
Mbona kama unajutia kuishi?!"If You Work For A Living, Why Do You Kill Yourself Working?" And I'm asking if we live so we can die why do we born?? Au unamatumaini ya kwamba one day mtafufuliwa upya na kuishi tena?
Pole sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutia moyo.Yani inakuja tu nashangaa hata usiku wa manane naanza kumuwaza sijui huko yukoje masikini 😢
daah ndo ivo mkuu joto na giza tuMimi ninawaza tu siku ya kufa kwangu,,usiku wangu wa kwanza makaburini sijui itakuaje,,watu wamekuzika na kuondoka, giza limeingia, hakuna marafiki, wala ndugu, umeme wala ulinzi, hiki ndo kinanipa uoga sana nitakapofariki
Pole sana Mwenyezi Mungu aendeele kuuponya moyo wako kadri siku zinavyokwenda.Nakuombea amani katika kipindi hiki kigumu kwako na wapendwa wako... Najua unachopitia, nilipoteza mtu wangu wa karibu mwanzoni mwa 2024 na sijawahi kupona hadi leo, kuna siku maumivu yanakua makali kuliko ile siku tukio limetokea... Kuna kipindi namuota hata wiki mfululizo, ni maumivu ambayo sitamani mtu mwingine apitie.
Kwamba ana nywele? Kama alitolewa mochwari mkaenda kumzika huenda waliomba apuliziwe dawa ili achelewe kuoza lkn ukweli ni kwampa hio melanin pigment na keratin zinakuwa not secreted out kwaio au niishie hapo tuWee ni muongoo,
Sisi tuliwahi hamisha maiti iliyozikwa zaidi ya miaka 13 tulikuta yupo safi, ila alikauka sana yaan kau kau, ila eneo la tumbo ndo lilikua limeshambuliwa sana na wadudu, tulimkuta kucha ndefu, nywele ndefu, na had nguo alizozikwa nazo ziliharibika maeneo ya pale tumboni, kwingine zilikua safi.
Labda wee uzungumzie kuhusu uzikaji waislamu, ila wakristo na Yale majeneza, wanakua bado safi kwa muda mrefu.
Ushawahi ona mzuga wa binadamu anyway wa siku 4 ??😀 😀 😀 Eti sehemu za siri hutoa harufu kali sana... Why.....ukioza umeoza tu, mnuko wa uozo ni sawa.
Msitutisheeee
Msitudanganyeee
We ulisikia hiyo harufu.... ukanusa usirini