nimesoma ubungo N.H..nilimaliza mwaka wa 1999..shule yetu ilikuwa vizuri kwa mchakamcha, fujo pia tulikuwa tunaziweza tambaza,makurumra mugabe walituogopa..nakumbuka wamasai walikuwa wanakamata sana wanafunzi watolo na wavuta bangi..wengi tulikuwa vijobu(wategeaji kuingia darasani) sana enzi...
Kwa kawaida ghalama za ujenzi hasa material ya kujengea zinatofautiana na mahali ulipo kama upo dar ujenzi wa tofali za cement ndo unatumika xna na ghalama zake zipo hivi kila chumba kimoja kinatumia tofali 350 hadi 400 kwa ukubwa wa futi 12/12 tofali moja ni shilingi 1,200x 400=480,000/-...
Unafiki?...'double standard' katika ubora wake
...Je mawaziri wake waliopishana kauli kwa kumponda Dangote atawatumbua?
Mwingine alisema Dangote alikuwa anataka gesi ya bure [emoji481][emoji481][emoji85][emoji85]
::IKULU, DAR: Rais Magufuli leo afanya mazungumzo na Bilionea Dangote::
Rais wa...
FAHAMU ZAIDI..
1. Brunei ukipenda iite 'Darusalaam' ama nyumba ya amani ni nchi ambayo raia wake hawalipi kodi yeyote (All citizens in Brunei, including expats, do not have to pay for taxes, for it is absolutely free.), Hata maisha ya wananchi wake ni mazuri na mshahara wa chini kabisa ni dola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.