Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
kweli ya kale ni dhahabu natamani kweli enzi ingekuwa inarudi. nakumbuka nilivyokuwa napenda mikusu, misaula, maembe mabichi ya chunvi, kabla ya kuhamia wilolesi nilikuwa Njombe katika shule ya Mpechi primary school, nilikuwa na marafiki zangu , vinga, Roida,sevanu, nawakumbuka sana tangu tumeachana sijawahi kusikia habari zao wala kukutana nao.mkuu Rubi hapo juu umenikumbusha kweli kabisa wilolesi ili inasifika kwa majini eti vyooni kuna kipindi wanafunzi wanaskia harufu ya pilau inawavutia wanafunz kuifuata na mmoja lazima afe,pia kimazingira ilikuwa kama jangwa fulani,nimesalia sana sunday school moravian kwenye madarasa yao wakati kanisa kubwa lilikuwa la mbao kando ya shule kabla ya kujenga kule kihesa,ni mda mrefu sana