Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Attachments

  • Screenshot_20170325-233141.png
    Screenshot_20170325-233141.png
    20.8 KB · Views: 75
watanzania wengi walioko nje wana roho mbaya.hawasaidiani kabisaaa.sipendi kudanganya ila bora hata ujitambulishe we mkenya au mganda au mrundi utasaidiwa ila ukijitaja mbongo tu hata pa kukaa hutopata.wanaosaidiana ni nchi zingine.inauma sana.tunashndwa hata na wamalawi?daaah

Mbona wengi wanao sema NI waKenya,waKongo waBurundi Au waGanda
Matatizo yakikutokea hao wenyeji wako wataanza kutafuta WaTanzania wamsaidie ndugu Yao.Ukweli wengi wanasaidiana.
WaTanzania wengi ambao wa nje walianza Na mmoja mmoja huyu kaalikwa baadaye kamualika ndugu yake Halafu kamoja roho ya kwanini hataki kusaidia NDIO inakuwa sura ya WaTanzania wote wabaya.
Segito Mbona Wewe unawasaidia WaBongo wengi inamaana hujadhulumiwa?au kutukanwa Na hao unao Au ulio wasaidia?
Lakini roho yako haibadilishwi Na mtu.
Ubarikiwe sanaaaaa tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
mkuu Izzo mimi bado nipo nasubir ututajie hiko chuo! nipo interested na hyo kozi na nina MD tayari nadhani itakuwa rahisi kwangu.
Ndugu zangu Watanganyika ni muhimu kama huna degree coz kupata White - collar job kwanza ni ngumu kama bado ujapata PR so unaweza kuanza na kazi ndogo ndogo lakini zinalipa vizuri (pay is good) jifunzeni Construction Work , QS's, Carpenter, Painter, Plumber trust me hz kazi zipo nying sana na malipo ni mazuri sana

Kingine kuna hii kitu ambao wengi hawajui lakni ni bonge la dili inaitwa Occupational safety and health ni bonge la dili kwani unafanya kazi sehemu yeyote na kazi huwezi kukosa
Nitakuja kuwapa ujanja wa kusoma hii course online na chuo ambacho kipo chini ya U.S. Department of Labor (DOL) na kama ukimaliza hapo unasoma PROFESSIONAL TRAINING PROGRAMS ukitoka hapo course ni miezi 6 mpaka mwaka ukitoka hapo unapata kazi sehemu yeyote duniani kuanzia kwenye makampuni makubwa , viwanda,taasisi na kwenye sector ya mafuta na gesi watu wengi naona wanakwenda kusoma vitu ambayo watu wengi wanasoma siku ikitokea wametangaza ajira interview inafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi mlivyo wengi tatizo tumefungwa ufahamu tumeshindwa kutumia milango sita ya ufahamu nyinyi mnafundishwa kuna milango 5 wenzenu wanafundiswa ni milango sita mpaka 9

Mpaka sasa hv chuo hiki kuna watu laki 3 ndio wamesoma hapa sasa jiulize duniani kuna makampuni mangapi,kuna viwanda vikubwa vingapi kuna nchi ngapi wanachimba gesi na mafuta hakuna kampuni yeyote utakayopeleka cheti cha chuo hiki ukakosa kazi duniani kwani wanafunzi wake wote wapo kwenye data base anachofanya ni kuingia kwenye data base na kuingiza namba zako tu anaona kila kitu so huwezi kufake hata kidogo

Taasisi hii ndio inasimamia maswala ya Safety na Health duniani makampuni na mashirika yote makubwa yanasimamiwa na taasisi hii ambayo iko chini ya U.S. Department of Labor (DOL)

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
o
 
kiukweli mimi nilipata matatizo nchi za wenyewe.ajabu na kweli nikaokolewa na mnaigeria.jinsi nilivyojimix nao nilipata ujasiri ambao sikuwai kujua ninao.nilikomaa mpaka nikasimama tena kwa msaada wa wapopo na wakenya.nashukuru sijawahi kulizwa na baadhi ya niliowasaidia sababu ni mtu makini na huwa napenda kumjenga mtu ninayempokea ajitegemee.vijana wengi wa kibongo mentality yao wamezoea mizinga na tamaa za kuwa na vitu vizuri kwa muda mfupi.wengi wao hawana uvumilivu wala malengo ya muda mrefu.mtu anakwambia anataka kuzamia ila maajabu hajui kesho yake itakuaje.ndio 7bu wakifika kwa watu wanakuta mambo ndivyo sivyo inakua msala.
 
kiukweli mimi nilipata matatizo nchi za wenyewe.ajabu na kweli nikaokolewa na mnaigeria.jinsi nilivyojimix nao nilipata ujasiri ambao sikuwai kujua ninao.nilikomaa mpaka nikasimama tena kwa msaada wa wapopo na wakenya.nashukuru sijawahi kulizwa na baadhi ya niliowasaidia sababu ni mtu makini na huwa napenda kumjenga mtu ninayempokea ajitegemee.vijana wengi wa kibongo mentality yao wamezoea mizinga na tamaa za kuwa na vitu vizuri kwa muda mfupi.wengi wao hawana uvumilivu wala malengo ya muda mrefu.mtu anakwambia anataka kuzamia ila maajabu hajui kesho yake itakuaje.ndio 7bu wakifika kwa watu wanakuta mambo ndivyo sivyo inakua msala.

Mkuu naomba ufafanuzi hapo kama hautojali
 
kiukweli mimi nilipata matatizo nchi za wenyewe.ajabu na kweli nikaokolewa na mnaigeria.jinsi nilivyojimix nao nilipata ujasiri ambao sikuwai kujua ninao.nilikomaa mpaka nikasimama tena kwa msaada wa wapopo na wakenya.nashukuru sijawahi kulizwa na baadhi ya niliowasaidia sababu ni mtu makini na huwa napenda kumjenga mtu ninayempokea ajitegemee.vijana wengi wa kibongo mentality yao wamezoea mizinga na tamaa za kuwa na vitu vizuri kwa muda mfupi.wengi wao hawana uvumilivu wala malengo ya muda mrefu.mtu anakwambia anataka kuzamia ila maajabu hajui kesho yake itakuaje.ndio 7bu wakifika kwa watu wanakuta mambo ndivyo sivyo inakua msala.
Wewe ni mtoto wa kike lakini unaonekana jasiri sana umekua katika maisha ambayo si ya lele mama.
kama tuwaonavyo wadada wengi wao ni waoga sana kutake risk kwenye inshu kama hizi.
 

WAKUU,

SAMAHANI KIDOGO,
WALA SI KWA NIA MBAYA ILA NI VEMA KUULIZA.

HIKI KIPENGELE CHA KUPEANA WATU WA KUCHANGIA GHETTO HICHO "HAPIGWI" MTU HAPO HADI AKARUDI BONGO KWA MIGUU KUPITIA BODA YA MSUMBIJI,
AKATOKEA MTAMBASWALA MTWARA??

NAULIZA TU WAKUU KUHUSU MIRADI YA UDUFUAJI HAPO!
tatizo umeshakua na corrupted mind hadi hauwazi sawa sawa.imagine,umekuja newcomer,una beg la nguo zako mbili tatu za kariakoo afu unapokewa na vijana wenzio ambao wameshaishi muda mrefu,wana vitu vyenye majina nani ataeogopa mwenzie asimuibie?wewe newcomer? au wenyeji wako ndo wakuogope wewe?pesa utakua nazo kwenye card yako.nani atachukua kadi yako wakati unayo muda wote na password waijua mwenyewe?Kama umetumwa kukatisha watu tamaa,shindwa ktk jina la Yesu
 
hii thread ningeipata kabla sina vijana wangu hapa hasa huyu anayenyonya ningeshaondoka na nguo niliyovaa tuu ila sasa nikiwaangalia niende mpaka nisettle ndio niwachukue napata wakati mgumu sana

Kuna kipindi tulipataga mwaliko marekani kwenye hotel moja ya huko Maryland. tungetakiwa kutumia h2b visa ikakutana na september 11 ile issue ya pentagon wakablock passport baada ya mwaka tukaanza tena kufuatilia mmh issue ikagoma tena mpaka leo nimebaki na document na passport ambayo hata haijawahi vuka boarder na imeisha muda wake

Kupitia uzi huu nadhani mtu unaweza kwenda provided u have enough cash u can make it. Au kuna muungwana anaweza kunisaidia na watoto wangu haaa haaaa
 
hii thread ningeipata kabla sina vijana wangu hapa hasa huyu anayenyonya ningeshaondoka na nguo niliyovaa tuu ila sasa nikiwaangalia niende mpaka nisettle ndio niwachukue napata wakati mgumu sana

Kuna kipindi tulipataga mwaliko marekani kwenye hotel moja ya huko Maryland. tungetakiwa kutumia h2b visa ikakutana na september 11 ile issue ya pentagon wakablock passport baada ya mwaka tukaanza tena kufuatilia mmh issue ikagoma tena mpaka leo nimebaki na document na passport ambayo hata haijawahi vuka boarder na imeisha muda wake

Kupitia uzi huu nadhani mtu unaweza kwenda provided u have enough cash u can make it. Au kuna muungwana anaweza kunisaidia na watoto wangu haaa haaaa
mmmh mmh watoto ni gharama sana bora uwaache ukiwa sawa unawaitisha.
 
mfano,mimi nataka niende arabuni ili pesa ntazopata niweze kununua shamba la miti au nataka niende ulaya ili pesa nitayopata huko niweze kuwajengea wanangu nyumba ili hata nikifa au kurudishwa bongo kwa sababu yoyote nipate pa kufikia.umenielewa?
Nimekupata mkuu...ambaye hawazi future yake ni mfu anayetembea
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hv unajua kwa nini kila kiniweka hapa project mpya au chapisho la maana nawatag watu? coz nataka hata wale ambao wameonyesha mwitikio na hizi project wapate update kwa kila kipya tunachoweka hapa na kila mtu kushiriki katika safari hii ya maendeleo si matumaini kwani nataka watu waende kwa kujidai si kujificha unapoona gari la police kwani kama utakuwa unajificha ukiona gari la Police basi utatumia masaa 10 kati ya 12 kujificha tu coz huku gari za Police kupita mitaani ni kama vile unavyoona magari ya mwendo kasi ukiwa kkoo


Siku zte inapendeza na kufurahisha kama project inatoka kwenye makaratasi na kuwa kitu cha kuonekana na kushikika si kupiga story tu mwisho wa siku hakuna chochote cha maana kwani muda ni rasilimali ambayo ukiipoteza huwezi kuipata tena mpaka unakufa so siwezi na sipo tayali kuwa napoteza muda hapa na pia kuhusu wageni kwanza nataka mwezi wa 4 yeyote mwenye kutaka mgeni lazima tutoke kwenye kujificha nyuma ya keybold na keypad mm nitaka namba zenu za simu tu mengine niachieni mm kwani usalama wa wageni ni
First Priority so naitaji kuwajua vizuri host pia yule main host kwani lazima kuwe na main host ambae kazi yake ni kuwasambaza kwa hawa host
tutaanza na wageni 22 kutoka Malta,Canada na USA

Pia wale mabingwa wa kuandika projects kwani si kila mtu anapenda kwenda Ulaya au nje wajiandae lakini lazima taasisi yako au yenu imepata usajiri wa serikali na cheti kipo nitakachofanya ni kukuonganisha na taasisi ya nje bhasi unaendelea mwenyewe no kuwasiliana no PM

Mkuu Izzo nipo tayari ku host hao wageni
 
Umeona Ladypeace embu tufanye kushauriana njia gani tuzitumie kurahisisha hili suala la ambao tuko tayari kwanza kupambana na hii option ya pili maana ndiyo kama kindergarten yetu ya kupata mwelekeo wa kutimiza lengo letu haswa la kuruka majuu
Tuchague kiongozi wa muda kutuunganisha kwenye group moja kila mkoa wawe na group lao na kiongozi wao hapo ndo kuweka kikao cha utambulisho mwisho viongozi wote wa mikoa wakutane wachague kiongozi/ mratibu na mpokeaji.
 
Ndugu zangu Watanganyika ni muhimu kama huna degree coz kupata White - collar job kwanza ni ngumu kama bado ujapata PR so unaweza kuanza na kazi ndogo ndogo lakini zinalipa vizuri (pay is good) jifunzeni Construction Work , QS's, Carpenter, Painter, Plumber trust me hz kazi zipo nying sana na malipo ni mazuri sana

Kingine kuna hii kitu ambao wengi hawajui lakni ni bonge la dili inaitwa Occupational safety and health ni bonge la dili kwani unafanya kazi sehemu yeyote na kazi huwezi kukosa
Nitakuja kuwapa ujanja wa kusoma hii course online na chuo ambacho kipo chini ya U.S. Department of Labor (DOL) na kama ukimaliza hapo unasoma PROFESSIONAL TRAINING PROGRAMS ukitoka hapo course ni miezi 6 mpaka mwaka ukitoka hapo unapata kazi sehemu yeyote duniani kuanzia kwenye makampuni makubwa , viwanda,taasisi na kwenye sector ya mafuta na gesi watu wengi naona wanakwenda kusoma vitu ambayo watu wengi wanasoma siku ikitokea wametangaza ajira interview inafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi mlivyo wengi tatizo tumefungwa ufahamu tumeshindwa kutumia milango sita ya ufahamu nyinyi mnafundishwa kuna milango 5 wenzenu wanafundiswa ni milango sita mpaka 9

Mpaka sasa hv chuo hiki kuna watu laki 3 ndio wamesoma hapa sasa jiulize duniani kuna makampuni mangapi,kuna viwanda vikubwa vingapi kuna nchi ngapi wanachimba gesi na mafuta hakuna kampuni yeyote utakayopeleka cheti cha chuo hiki ukakosa kazi duniani kwani wanafunzi wake wote wapo kwenye data base anachofanya ni kuingia kwenye data base na kuingiza namba zako tu anaona kila kitu so huwezi kufake hata kidogo

Taasisi hii ndio inasimamia maswala ya Safety na Health duniani makampuni na mashirika yote makubwa yanasimamiwa na taasisi hii ambayo iko chini ya U.S. Department of Labor (DOL)

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Mkuu Izzo kidogo nina idea kuhusu hizo issue ya za occupational health and safety coz nipo kwenye kampuni inayotarajia kupata ISO AND OH&S CERTIFICATION, so huwa nahudhuria mafunzo hayo pia nina degree.
 
Back
Top Bottom