Recent content by faster

  1. faster

    Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

    Hii ndio nchi yetu hakuna kukimbia ni kupambana tuu wasipewe madaraka watu wasiotufaa .... mambo inabidi yatengenezwe mapema chini kwa chini mtu aje shtukia hana chake Sent using Jamii Forums mobile app
  2. faster

    Kwa siasa hizi stligers Goerge itakufa kabla haijaanza, hatuna uhakika wa maji tuache sifa

    Ivi kwann isitumike solar?? Gas ilishauzwa na wapigaji na ww ukitaka kula tafuta mradi wako .....lakini usituharibie mazingira ya vizazi vijavyo...... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. faster

    Uliza software yeyote hapa

    Uzi mzuri ila watu hata kumtia nguvu mtu wanashindwa ....we umepewa software bureee ata buku 5 tuu basi buku mbili ya vocha bado mnajikausha...... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. faster

    Naomba msada wa mpesa-mastercard

    Hii ni taka taka tangu jana najaribu kuweka pesa inazingua ukiwapigia hakuna kitu wanajibu. Wakipata competetion watajielewa
  5. faster

    Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

    Hivi na dagaa ni nyama? Au samaki aruhusiwi pia?
  6. faster

    Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Jumla matumizi yako ni watts 129 kwa (economic view huu utakua mtambo wa watts 200 ).... hapa utahitaji battery atleast ya N150 panel watts 100×2 controlla 20A(unaweza pata ata 10A sio mbaya na invetor watts 500......usiku hutowasha tv full time mpaka saa 4 then unaacha taa zenyewe zitapiga...
  7. faster

    Jamii: Tupia Screenshot yoyote uliyoipenda

    Wenye Chama
  8. faster

    Makundi ndani ya CCM yana historia pana

    Nakuona umetoa angalizo mkuu[emoji38][emoji38]
  9. faster

    Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

    Unachokitafuta utakipata mkuu.... naomba ukikipata usisahau pia kufungua uzi nakutujulisha kilichojiri .......... leo Mo anaweka mbili
  10. faster

    Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

    Maisha yenyewe mafupi .... Afrika tunapigwa vita kila mahali ..... na haya mabiological weapon bado utoe ng'ombe 520 kwa huyu??? Hapana [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. faster

    Wakazi wa Dar mna matatizo gani ,mbona kila ujinga ni nyie tu

    [emoji23][emoji23][emoji23] em muache mzee Mushi wa watu
  12. faster

    Avatar yako na Id yako ina maana gani?

    Habari yamapili wana jf Nimekua nikikuna kichwa sana kutaka kujua ni mtu alifikiria nini kujiita jina fulani kama Id yake ama kuweka avatar fulani. Tukianza na mm avatar ni picha ya jamaa wa kuitwa Bumpy Johnson uyu alikua mob boss uko harlem Id sikufikiri sana .....
  13. faster

    Kosa kubwa analofanya IGP Sirro na litamgharimu...

    Yaani uambiwe kuwa umesema uongo na ni ukweli umesema uongo alafu umpige ...... ndio ule ubabe wa kishamba .....sema ukweli uone kama ungepata maneno ya kejeli
Back
Top Bottom