Hii ndio nchi yetu hakuna kukimbia ni kupambana tuu wasipewe madaraka watu wasiotufaa .... mambo inabidi yatengenezwe mapema chini kwa chini mtu aje shtukia hana chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi kwann isitumike solar?? Gas ilishauzwa na wapigaji na ww ukitaka kula tafuta mradi wako .....lakini usituharibie mazingira ya vizazi vijavyo......
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi mzuri ila watu hata kumtia nguvu mtu wanashindwa ....we umepewa software bureee ata buku 5 tuu basi buku mbili ya vocha bado mnajikausha......
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumla matumizi yako ni watts 129 kwa (economic view huu utakua mtambo wa watts 200 ).... hapa utahitaji battery atleast ya N150 panel watts 100×2 controlla 20A(unaweza pata ata 10A sio mbaya na invetor watts 500......usiku hutowasha tv full time mpaka saa 4 then unaacha taa zenyewe zitapiga...
Maisha yenyewe mafupi .... Afrika tunapigwa vita kila mahali ..... na haya mabiological weapon bado utoe ng'ombe 520 kwa huyu??? Hapana [emoji23][emoji23][emoji23]
Habari yamapili wana jf
Nimekua nikikuna kichwa sana kutaka kujua ni mtu alifikiria nini kujiita jina fulani kama Id yake ama kuweka avatar fulani.
Tukianza na mm avatar ni picha ya jamaa wa kuitwa Bumpy Johnson uyu alikua mob boss uko harlem
Id sikufikiri sana .....
Yaani uambiwe kuwa umesema uongo na ni ukweli umesema uongo alafu umpige ...... ndio ule ubabe wa kishamba .....sema ukweli uone kama ungepata maneno ya kejeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.