Makundi ndani ya CCM yana historia pana

Makundi ndani ya CCM yana historia pana

kibol

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2012
Posts
4,636
Reaction score
2,885
Na Frey Cosseny

Tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama vya vingi hapa nchini ndani ya Chama Cha Mapinduzi kulitokea makundi yanayohasimiana katika Vita ya kutafuta kuongoza dola.
Makundi haya yapo kuanzia ngazi ya Urais hadi vijiji/mitaa.
1994 ndani ya ccm iliasisiwa makundi matatu muhimu ktk Vita ya kusaka urais.
Muasisi wa makundi haya ndani ya ccm naweza kusema ni aliyekuwa Waziri Mkuu na makamu wa Kwanza na pia makamu Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Mzee Dr Samuel John Malecela.
Makundi makuu yako matatu ndani ya ccm mpk Leo.
Kundi la Wazee ndani ya Chama ndani, kundi ili iliyongozwa na Mzee malecela na shemeji yake Prof Mark Mwandosya kundi ili kwa jina lingine linajulikana kama Mtwara Corridor.
Kundi lingine ni lililokuwa likiongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa sasa kundi limebaki pale Nyerere Foundation.
Kundi la mwisho ilijukana kama kundi la Vijana ili ndilo kundi la akina Jakaya kikwete, Edward Lowassa Abdurahaman Kinana akina Marehemu Dr Didas Masaburi akina Marehemu Mzee Samuel Sitta.
Mwaka 1994 kuelekea 1995 makundi mawili yalikuwa na fedha za kutosha yaani kundi la malecela ambayo ilikuwa imekamata wakuu wa Mikoa, Madc wenyeviti wa ccm ngazi ya mikoa na Wilaya na watendaji wa chama ktk ngazi zote.
Na kundi la vijana ambao walijikita ktk Umoja wa Vijana wa ccm na wafanyabiashara.
Kundi la Nyerere ilikuwa kundi la watu maskini lakini wakimtegemea sana Mwalimu Nyerere kujenga hoja na ushswishi mwisho wa siku kundi ilifanikiwa kutoa mgombea wa Urais Dr Benjamin William Mkapa.
Toka wakati huo haya makundi hayajawahi kufa ndani ccm, uchaguzi wa kumpata mgombea unapoisha ndani chama waasisi wa makundi haya uyafufua.
Wafuasi wa makundi haya uwa mara nyingi unufaikaa na uwepo wa makundi haya ndani ya chama kwasababu vinara wa makundi haya uambulia pesa na wakati mwinginemadaraka ndani ya serikali iwapo kundi unalouunga ikifanikiwa walau kuingiza mgombea wao ndani ya serikali au Kamati Kuu ya ccm.
Makundi mara ujikusanyia mapato na kuwapa wafuasi kuchafua kundi lingine.
Na vyombo vya habari hasa Magazeti utumika sana kuwachafua wapinzani wao.
Ili la January Makamba na Bernard Membe kuhusishwa kumpinga Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli inawezekana kuwa ni sehemu ya Vita ya makundi ndani ya ccm kuelekea 2025.
Ninavyomfahamu Mzee Yusuph Rajabu Makamba na misimamo yake kuhusu uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi sidhani ili lililoandikwa kwenye gazeti la tanzanite anaweza kuliunga mkono hata kwa chembe .
Nakumbuka hata January Makamba kuomba kugombea uraisi kupitia 2015 Mzee ilimchukua muda mrefu kukubali January Makamba kuingia ktk kinyang'anyiro ilitumika nguvu ya vijana kwenda kumshawishi Mzee mpk akakubali kutokana na msimamo wake.
Kama 2015 Mzee Makamba alimgomea mwanae hivi itaingia akilini Mzee Makamba kumuunga mkono January Makamba kupambana na mwenyekiti wake 2020?
Nimemfahamu Mzee miaka 22 iliyopita akiwa Rc Morogoro ni Moja ya wazee wenye msimamo ndani ya Chama.
2010 nakumbuka Mzee Makamba akiwa Katibu Mkuu wa Ccm Taifa pale Mzee Magale Shibuda akiwa Mbunge wa Maswa kupitia Ccm aliamua kuchukua ya kugombea uraisi kupitia Ccm kushindana na Jakaya Kikwete nadhani mnafahamu kilichompata Shibuda mpk akakimbilia Upinzani hivi leo Mzee aamuunge mkono mwanae kuchukua kupingana na Magufuli 2020?
Natambua kuwa kuna Wakuu wa mikoa watatu na mawaziri wawili ambao wanajifanya wao ndiyo watoto wa Magufuli na Hawa walikuwa watoto kindakindaki wa Mzee Bernard Membe
Hawa ndiyo wanaotengenezea wenzao Vita na Mwenyekiti na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli.
Ushauri wangu mdogo kwa Mwenyekiti wetu akae na Mtangulizi wake Jakaya kikwete atamueleza tabia ya Hawa vijana wanaojifanya sasa kuwa wafuasi kindakindaki wake tabia ya Hawa vijana.
Sisi tulilelewa ndani ya Chama cha Mapinduzi tulifundishwa kujenga chama kama taasisi na siyo Mtu.
Mimi kwangu chama ni Bora zaidi kuliko mtu.
Nampenda sana Magufuli kwasababu ni Mwenyekiti Wangu wa chama na mwanachama mwenzangu nje ya hapo sina unasaba na Magufuli.
Tatizo linalolikumba chama cha Mapinduzi sasa kuna wafuasi wa watu ndani ya chama badala ya wafuasi wa Chama.
Athari ya chama kuwa na wafuasi wa mtu ni kwamba tunapata wanachama wachumia tumbo ambao wako kwenye chama kwa maslahi ya tumbo lao na watu wakipata ya kuwa viongozi wanawatengeneza wapambe wa kuwasifia na kuwapigia makofi hata wakifanya mambo ya Kijinga.
Namini haya yakiyoandikwa kwenye gazeti la Tanzanite kuhusu Bernard Membe na January Makamba ni muendelezo sehemu ya Vita ndani ya wasaka Urais ndani ya Chama kuelekea 2025 ila wameanza mapema kuvunja nguvu wenzao.
Ninachoaminj Urais utolewa na Mungu.
Na Frey Cosseny
 
Mimi mwenyewe nikiambiwa nichague mtu mwenye unafuu wa kuikoa Ccm ni January Makamba

Sio MEMBE wala takataka zingine, ukifatilia kwa umakini wakati wa kujinadi ndani ya ccm

Makamba ndio alijieleza in details kuliko wagombea wengine wote

Tunahitaji Rais mwenye VISION SIO wapiga pushapu kwenye kampeni ..
 
Na Frey Cosseny

Tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama vya vingi hapa nchini ndani ya
Chama Cha Mapinduzi kulitokea makundi yanayohasimiana katika Vita ya kutafuta kuongoza dola.
Makundi haya yapo kuanzia ngazi ya Urais hadi vijiji/mitaa.
1994 ndani ya ccm iliasisiwa makundi matatu muhimu ktk Vita ya kusaka urais.
Muasisi wa makundi haya ndani ya ccm naweza kusema ni aliyekuwa Waziri Mkuu na makamu wa Kwanza na pia makamu Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Mzee Dr Samuel John Malecela.
Makundi makuu yako matatu ndani ya ccm mpk Leo.
Kundi la Wazee ndani ya Chama ndani, kundi ili iliyongozwa na Mzee malecela na shemeji yake Prof Mark Mwandosya kundi ili kwa jina lingine linajulikana kama Mtwara Corridor.
Kundi lingine ni lililokuwa likiongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa sasa kundi limebaki pale Nyerere Foundation.
Kundi la mwisho ilijukana kama kundi la Vijana ili ndilo kundi la akina Jakaya kikwete, Edward Lowassa Abdurahaman Kinana akina Marehemu Dr Didas Masaburi akina Marehemu Mzee Samuel Sitta.
Mwaka 1994 kuelekea 1995 makundi mawili yalikuwa na fedha za kutosha yaani kundi la malecela ambayo ilikuwa imekamata wakuu wa Mikoa, Madc wenyeviti wa ccm ngazi ya mikoa na Wilaya na watendaji wa chama ktk ngazi zote.
Na kundi la vijana ambao walijikita ktk Umoja wa Vijana wa ccm na wafanyabiashara.
Kundi la Nyerere ilikuwa kundi la watu maskini lakini wakimtegemea sana Mwalimu Nyerere kujenga hoja na ushswishi mwisho wa siku kundi ilifanikiwa kutoa mgombea wa Urais Dr Benjamin William Mkapa.
Toka wakati huo haya makundi hayajawahi kufa ndani ccm, uchaguzi wa kumpata mgombea unapoisha ndani chama waasisi wa makundi haya uyafufua.
Wafuasi wa makundi haya uwa mara nyingi unufaikaa na uwepo wa makundi haya ndani ya chama kwasababu vinara wa makundi haya uambulia pesa na wakati mwinginemadaraka ndani ya serikali iwapo kundi unalouunga ikifanikiwa walau kuingiza mgombea wao ndani ya serikali au Kamati Kuu ya ccm.
Makundi mara ujikusanyia mapato na kuwapa wafuasi kuchafua kundi lingine.
Na vyombo vya habari hasa Magazeti utumika sana kuwachafua wapinzani wao.
Ili la January Makamba na Bernard Membe kuhusishwa kumpinga Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli inawezekana kuwa ni sehemu ya Vita ya makundi ndani ya ccm kuelekea 2025.
Ninavyomfahamu Mzee Yusuph Rajabu Makamba na misimamo yake kuhusu uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi sidhani ili lililoandikwa kwenye gazeti la tanzanite anaweza kuliunga mkono hata kwa chembe .
Nakumbuka hata January Makamba kuomba kugombea uraisi kupitia 2015 Mzee ilimchukua muda mrefu kukubali January Makamba kuingia ktk kinyang'anyiro ilitumika nguvu ya vijana kwenda kumshawishi Mzee mpk akakubali kutokana na msimamo wake.
Kama 2015 Mzee Makamba alimgomea mwanae hivi itaingia akilini Mzee Makamba kumuunga mkono January Makamba kupambana na mwenyekiti wake 2020?
Nimemfahamu Mzee miaka 22 iliyopita akiwa Rc Morogoro ni Moja ya wazee wenye msimamo ndani ya Chama.
2010 nakumbuka Mzee Makamba akiwa Katibu Mkuu wa Ccm Taifa pale Mzee Magale Shibuda akiwa Mbunge wa Maswa kupitia Ccm aliamua kuchukua ya kugombea uraisi kupitia Ccm kushindana na Jakaya Kikwete nadhani mnafahamu kilichompata Shibuda mpk akakimbilia Upinzani hivi leo Mzee aamuunge mkono mwanae kuchukua kupingana na Magufuli 2020?
Natambua kuwa kuna Wakuu wa mikoa watatu na mawaziri wawili ambao wanajifanya wao ndiyo watoto wa Magufuli na Hawa walikuwa watoto kindakindaki wa Mzee Bernard Membe
Hawa ndiyo wanaotengenezea wenzao Vita na Mwenyekiti na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli.
Ushauri wangu mdogo kwa Mwenyekiti wetu akae na Mtangulizi wake Jakaya kikwete atamueleza tabia ya Hawa vijana wanaojifanya sasa kuwa wafuasi kindakindaki wake tabia ya Hawa vijana.
Sisi tulilelewa ndani ya Chama cha Mapinduzi tulifundishwa kujenga chama kama taasisi na siyo Mtu.
Mimi kwangu chama ni Bora zaidi kuliko mtu.
Nampenda sana Magufuli kwasababu ni Mwenyekiti Wangu wa chama na mwanachama mwenzangu nje ya hapo sina unasaba na Magufuli.
Tatizo linalolikumba chama cha Mapinduzi sasa kuna wafuasi wa watu ndani ya chama badala ya wafuasi wa Chama.
Athari ya chama kuwa na wafuasi wa mtu ni kwamba tunapata wanachama wachumia tumbo ambao wako kwenye chama kwa maslahi ya tumbo lao na watu wakipata ya kuwa viongozi wanawatengeneza wapambe wa kuwasifia na kuwapigia makofi hata wakifanya mambo ya Kijinga.
Namini haya yakiyoandikwa kwenye gazeti la Tanzanite kuhusu Bernard Membe na January Makamba ni muendelezo sehemu ya Vita ndani ya wasaka Urais ndani ya Chama kuelekea 2025 ila wameanza mapema kuvunja nguvu wenzao.
Ninachoaminj Urais utolewa na Mungu.
Na Frey Cosseny
Naona mnatapa tapa ka wafa maji
 
Na Frey Cosseny

Tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama vya vingi hapa nchini ndani ya
Chama Cha Mapinduzi kulitokea makundi yanayohasimiana katika Vita ya kutafuta kuongoza dola.
Makundi haya yapo kuanzia ngazi ya Urais hadi vijiji/mitaa.
1994 ndani ya ccm iliasisiwa makundi matatu muhimu ktk Vita ya kusaka urais.
Muasisi wa makundi haya ndani ya ccm naweza kusema ni aliyekuwa Waziri Mkuu na makamu wa Kwanza na pia makamu Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Mzee Dr Samuel John Malecela.
Makundi makuu yako matatu ndani ya ccm mpk Leo.
Kundi la Wazee ndani ya Chama ndani, kundi ili iliyongozwa na Mzee malecela na shemeji yake Prof Mark Mwandosya kundi ili kwa jina lingine linajulikana kama Mtwara Corridor.
Kundi lingine ni lililokuwa likiongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa sasa kundi limebaki pale Nyerere Foundation.
Kundi la mwisho ilijukana kama kundi la Vijana ili ndilo kundi la akina Jakaya kikwete, Edward Lowassa Abdurahaman Kinana akina Marehemu Dr Didas Masaburi akina Marehemu Mzee Samuel Sitta.
Mwaka 1994 kuelekea 1995 makundi mawili yalikuwa na fedha za kutosha yaani kundi la malecela ambayo ilikuwa imekamata wakuu wa Mikoa, Madc wenyeviti wa ccm ngazi ya mikoa na Wilaya na watendaji wa chama ktk ngazi zote.
Na kundi la vijana ambao walijikita ktk Umoja wa Vijana wa ccm na wafanyabiashara.
Kundi la Nyerere ilikuwa kundi la watu maskini lakini wakimtegemea sana Mwalimu Nyerere kujenga hoja na ushswishi mwisho wa siku kundi ilifanikiwa kutoa mgombea wa Urais Dr Benjamin William Mkapa.
Toka wakati huo haya makundi hayajawahi kufa ndani ccm, uchaguzi wa kumpata mgombea unapoisha ndani chama waasisi wa makundi haya uyafufua.
Wafuasi wa makundi haya uwa mara nyingi unufaikaa na uwepo wa makundi haya ndani ya chama kwasababu vinara wa makundi haya uambulia pesa na wakati mwinginemadaraka ndani ya serikali iwapo kundi unalouunga ikifanikiwa walau kuingiza mgombea wao ndani ya serikali au Kamati Kuu ya ccm.
Makundi mara ujikusanyia mapato na kuwapa wafuasi kuchafua kundi lingine.
Na vyombo vya habari hasa Magazeti utumika sana kuwachafua wapinzani wao.
Ili la January Makamba na Bernard Membe kuhusishwa kumpinga Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli inawezekana kuwa ni sehemu ya Vita ya makundi ndani ya ccm kuelekea 2025.
Ninavyomfahamu Mzee Yusuph Rajabu Makamba na misimamo yake kuhusu uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi sidhani ili lililoandikwa kwenye gazeti la tanzanite anaweza kuliunga mkono hata kwa chembe .
Nakumbuka hata January Makamba kuomba kugombea uraisi kupitia 2015 Mzee ilimchukua muda mrefu kukubali January Makamba kuingia ktk kinyang'anyiro ilitumika nguvu ya vijana kwenda kumshawishi Mzee mpk akakubali kutokana na msimamo wake.
Kama 2015 Mzee Makamba alimgomea mwanae hivi itaingia akilini Mzee Makamba kumuunga mkono January Makamba kupambana na mwenyekiti wake 2020?
Nimemfahamu Mzee miaka 22 iliyopita akiwa Rc Morogoro ni Moja ya wazee wenye msimamo ndani ya Chama.
2010 nakumbuka Mzee Makamba akiwa Katibu Mkuu wa Ccm Taifa pale Mzee Magale Shibuda akiwa Mbunge wa Maswa kupitia Ccm aliamua kuchukua ya kugombea uraisi kupitia Ccm kushindana na Jakaya Kikwete nadhani mnafahamu kilichompata Shibuda mpk akakimbilia Upinzani hivi leo Mzee aamuunge mkono mwanae kuchukua kupingana na Magufuli 2020?
Natambua kuwa kuna Wakuu wa mikoa watatu na mawaziri wawili ambao wanajifanya wao ndiyo watoto wa Magufuli na Hawa walikuwa watoto kindakindaki wa Mzee Bernard Membe
Hawa ndiyo wanaotengenezea wenzao Vita na Mwenyekiti na Rais wa JMT Dr John Pombe Magufuli.
Ushauri wangu mdogo kwa Mwenyekiti wetu akae na Mtangulizi wake Jakaya kikwete atamueleza tabia ya Hawa vijana wanaojifanya sasa kuwa wafuasi kindakindaki wake tabia ya Hawa vijana.
Sisi tulilelewa ndani ya Chama cha Mapinduzi tulifundishwa kujenga chama kama taasisi na siyo Mtu.
Mimi kwangu chama ni Bora zaidi kuliko mtu.
Nampenda sana Magufuli kwasababu ni Mwenyekiti Wangu wa chama na mwanachama mwenzangu nje ya hapo sina unasaba na Magufuli.
Tatizo linalolikumba chama cha Mapinduzi sasa kuna wafuasi wa watu ndani ya chama badala ya wafuasi wa Chama.
Athari ya chama kuwa na wafuasi wa mtu ni kwamba tunapata wanachama wachumia tumbo ambao wako kwenye chama kwa maslahi ya tumbo lao na watu wakipata ya kuwa viongozi wanawatengeneza wapambe wa kuwasifia na kuwapigia makofi hata wakifanya mambo ya Kijinga.
Namini haya yakiyoandikwa kwenye gazeti la Tanzanite kuhusu Bernard Membe na January Makamba ni muendelezo sehemu ya Vita ndani ya wasaka Urais ndani ya Chama kuelekea 2025 ila wameanza mapema kuvunja nguvu wenzao.
Ninachoaminj Urais utolewa na Mungu.
Na Frey Cosseny
Tafuta hela dogo acha majungu
 
Mimi mwenyewe nikiambiwa nichague mtu mwenye unafuu wa kuikoa Ccm ni January Makamba

Sio MEMBE wala takataka zingine, ukifatilia kwa umakini wakati wa kujinadi ndani ya ccm

Makamba ndio alijieleza in details kuliko wagombea wengine wote

Tunahitaji Rais mwenye VISION SIO wapiga pushapu kwenye kampeni ..
Ile kashfa ya kutapeli mzungu kumtumia Dada yake imemdisqualify
 
Mimi mwenyewe nikiambiwa nichague mtu mwenye unafuu wa kuikoa Ccm ni January Makamba

Sio MEMBE wala takataka zingine, ukifatilia kwa umakini wakati wa kujinadi ndani ya ccm

Makamba ndio alijieleza in details kuliko wagombea wengine wote

Tunahitaji Rais mwenye VISION SIO wapiga pushapu kwenye kampeni ..
January ni mtu makini sana, kuelekea 2015 niliwahi kusoma mahojiano yake na mmoja wa waandishi wa gazeti la raia mwema, kichwa cha habari ilikuwa ni maswali 41 kwa January Makamba, jamaa yupo well informed na makini sana, angepata ridhaa angefanya makubwa zaidi bahati mbaya sana hakupata nafasi, na shauri kama inawezekana tungepata yale mahojiano halafu tumchambue vizuri zaidi.
 
Ni haki yako kuwa na ndoto za alinacha!

Subiri ndoto za usiku angalau zinaweza kutoa picha sahihi kuhusu hatima ya Rais Magufuli kama Rais wa Tanzania.
Kwenye maisha ni lazima uwe na ndoto, halafu uweke mikakati ya kufikia ndoto husika.
 
Kwenye maisha ni lazima uwe na ndoto, halafu uweke mikakati ya kufikia ndoto husika.
Ni kweli, ndio maana nimesema jaribu kuota ndoto za usiku ambazo wakati mwingine zina ukweli.

Hizi ndoto zako za alinacha zinakupotezea muda wako na kujaza fikra hewa!
 
ni maajabu msemajj ukweli Ku like post yako
ina maana anataman na yeye kuona magu akidondoka
ni habari nzuri sanaa
Tatizo lako unadhani ku-like post ina maana moja tu kuwa unakubaliana nayo!

Mimi ninavyo like post ninakuwa na maana nyingi, mojawapo ni kumjulisha mtoa post kuwa nimeisoma post yake na kutoa angalizo langu.
 
Tatizo lako unadhani ku-like post ina maana moja tu kuwa unakubaliana nayo!

Mimi ninavyo like post ninakuwa na maana nyingi, mojawapo ni kumjulisha mtoa post kuwa nimeisoma post yake na kutoa angalizo langu.
ikitokea magu akapinduliwa kibabe na Mr membe
wewe utakuwa team Gani?!?
 
January ni mtu makini sana, kuelekea 2015 niliwahi kusoma mahojiano yake na mmoja wa waandishi wa gazeti la raia mwema, kichwa cha habari ilikuwa ni maswali 41 kwa January Makamba, jamaa yupo well informed na makini sana, angepata ridhaa angefanya makubwa zaidi bahati mbaya sana hakupata nafasi, na shauri kama inawezekana tungepata yale mahojiano halafu tumchambue vizuri zaidi.
Umakini uko wapi tapeli yule, amshukuru JPM kumfichia aibu. yule mzungu angemburuza mahakamani asingechomoka.
Mkiendelea na propaganda zenu za kijinga nitamshawishi mzungu amfungulie mashitaka
 
Tatizo lako unadhani ku-like post ina maana moja tu kuwa unakubaliana nayo!

Mimi ninavyo like post ninakuwa na maana nyingi, mojawapo ni kumjulisha mtoa post kuwa nimeisoma post yake na kutoa angalizo langu.
Nakuona umetoa angalizo mkuu[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom