Recent content by Famyff

  1. Famyff

    Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

    Naomba msaada wa kupata leseni ya uchimbaji mdogo na gharama zake.
  2. Famyff

    Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

    ruby garnet kaka habari, haya mawe naomba kujua jinsi ya kufaidika nayo, kwenye eneo langu yapo
  3. Famyff

    Ni kweli Kiarabu ndio lugha pekee ya Peponi?

    W.msalaam Hili jambo kwa kifupi halina ushahidi wowote katika Quran na sunna, pia hakuna ushahidi wowote kutoka kwa wema waliotangulia kuliongelea swala hili na ni bora kuliacha kama lilivo. Mungu ni mjuzi zaidi. Itapendeza zaidi individually mtu kujifunza kiarabu kwa maana ndio lugha ya Quran...
  4. Famyff

    Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

    Habari wakuu, naomba kufahamu hya mawe na kazi yake pia ni jinsi gani naweza kufaidika nayo.
  5. Famyff

    Movie/series yako bora kabisa

    Thomas shelby....... peaky fucking blinders Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Famyff

    Samatta atulie tu, Page ya Man City imejaa wa Algeria na mashabiki wameshazoea

    Tumemalza[emoji106] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Famyff

    Video za Ngono

    Sijasema kuangamia, kua makini soma tena.
  8. Famyff

    Video za Ngono

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. Famyff

    Video za Ngono

    Mojawapo ya madhara ya porn yaliyomo ni kutoheshimu wanawake.Hii ni pamoja na kupuuza kwa kutazama wanawake badala ya kuwasiliana nao mtazamo ambao wanawake huonekana kama vitu vya tamaa ya wanaume.
  10. Famyff

    Video za Ngono

    Mojawapo ya vilevi hatari zaidi duniani, kisaidizi katika kuharibu mahusiano, ndoa, uzalishaji, afya na husababisha mawazo. Nilikuwa kwenye discussion leo kutoa mawazo yangu juu ya jambo hili kweli, na nakumbuka hii quote maarufu ya Salahuddin, "Ikiwa unataka kuharibu taifa lolote bila vita...
  11. Famyff

    Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

    Kama ulivofeli ww
  12. Famyff

    Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

    Imefikaje uko kunambie m demu wa bakhreesa, tunakua wote sio.[emoji55] Unapenda sana mteremko, lipia kifurushi mega uone raha yake sio unaropokwa tu kenge ww
Back
Top Bottom