jaman nilidhani ni mimi tu..kuna hii +88213200444 imeshanibeep cku 2 tena ucku sana ila cjawahi kupiga nikajua ni namba za nje..thnx jamii forum kwa darasa.
nimejitahidi kuangalia post hii kama aimeshareportiwa lakin sijaona.. kama ipo mtanisamehe..mwanahalisi imefungiwa kwa mda usiojulikana kwa kua limekua likiandika habari za kichochezi.
source wapo radio
punguzaa ukali wa maneno na umshukuru Mungu kama huna ndg hata mmoja ambae hujajikwaa..ina maana huyu dada anaukoma asijichanganye na watu? au huyo zitto wenu ni mungu? angekua smart na huo umri si angekua ameshaoa? mmezidi bwana.
msamehe bure, ulishamuona anamfokea lukuvi au wasira? hua anawafokea mnyika na lissu kwa kua anajua moto wao ukiwaka hauzimwi hadi fire wafike wakati huo fire wako mbezi moto unawaka kigamboni.
Hongereni wabunge wote kwa kutoa posho zenu za cku moja na kupelekwa katika maafa yaliyotokea z'bar..swali ni je, pesa zitawafikia walengwa?
source; WAPO RADIO
mwambie aende ustawi wa jamii kama ni muslim aende BAKWATA wataitwa na kusuluhishwa na ikishindikana ataandikiwa barua kwenda mahakamani kuomba divorce ingawa kuna ground zinazoruhusu kuomba talaka hata bila kupitia katika m
abaraza ya usuluhishi..eg ukatili anaofanyiwa na mme wake ni ground...
Habari zinasema kua serikali ya tanzania haijatuma helikopta wala vifaa vya uokolezi kwenda eneo la tukio tofauti na reaction ambazo hua zinachukuliwa katika vurugu za kisiasa vyombo vya dola vinakua mstari wa mbele kutuma polisi na mabomu ya machozi..lakini umoja wa ulaya na serikali ya south...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.