Hii ni mahsusi kwa wale wenzangu na miye wasiojua kufunga tai pamoja na wale wenye wachumba wasiojua kufunga hili vazi la shingoni.
View attachment 58960
Hahahahh mkuu unataka kujifunza kuvaa nn?
Utunda namimi nimfundishe mtu wangu hajui.Hahahahh mkuu unataka kujifunza kuvaa nn?
kumbe wewe ni kemmh! Ngoja nimpe darasa mme wangu..asante kwa semina
ndio, ulidhani mimi ni me? nimeamua kutumia hilo jina coz nilitokea kulipenda somo la FAMILY LAW.kumbe wewe ni ke
duh....asante sana.....
Duh hiyo itabidi twende private!