Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Jamani kila nikiangalia bunge.....huwa ninafurahi sana.....lakini spika kuwafokea watu wazima kama watoto wadogo....huwa najisikiaga vibaya........sifahamu nyinyi wenzangu...........
Hii kauli ;kaaa chiniii
Hii kauli ;kaaa chiniii