Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
duh e bwana eeeh hii no si chini ya mara tau nimepata missed call zake na nilipoipiga kiwango changu cha pesa kikatoweka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo namba ilinibeep kwa mara ya kwanza tar 8/08/2012, usiku nikahis ni namba ya nje. Kesho yake nikaweka vocha, kupiga nikasikia maelekezo ya kiswahili nkakata hapo sababu muda huo huo sim ilikuwa imepiga alam ya kuisha ela. Nilikuwa nimeweka buku na hazikuisha sekunde 4. Jana tena saa mbili usiku imenibeep tena. Nikaipotezea. Wana jf epukanane na hiyo namba ni HATARI. Nina tabia ya mtu akinitumia ela kwa simu huwa naziacha tu mpaka ziwe nyingi ndo nitoe, ila nimezitoa zote kabla hawa wezi wa mtandaoni hawajaruka nazo. +881842011294 wizi mtupu.
yaani wewe unajitosa kabisa kuingiza kichwa kwenye mdomo wa mamba?
Mbona nimeipiga haipatikani?
TCRA hawawezi kuifungia maana ziko online na zimesajiliwa kwenye internet zingine kwenye satelite....ni hatari sana hao jamaa
TCRA hawawezi kuifungia maana ziko online na zimesajiliwa kwenye internet zingine kwenye satelite....ni hatari sana hao jamaa
hiyo namba ilinibeep kwa mara ya kwanza tar 8/08/2012, usiku nikahis ni namba ya nje. Kesho yake nikaweka vocha, kupiga nikasikia maelekezo ya kiswahili nkakata hapo sababu muda huo huo sim ilikuwa imepiga alam ya kuisha ela. Nilikuwa nimeweka buku na hazikuisha sekunde 4. Jana tena saa mbili usiku imenibeep tena. Nikaipotezea. Wana jf epukanane na hiyo namba ni HATARI. Nina tabia ya mtu akinitumia ela kwa simu huwa naziacha tu mpaka ziwe nyingi ndo nitoe, ila nimezitoa zote kabla hawa wezi wa mtandaoni hawajaruka nazo. +881842011294 wizi mtupu.
Hiyo namba inaayoanzia na +8818xxxxxxxx inaonyesha ni Satphone Thuraya TCRA hawana jinsi ya kuiungia, na huenda anekupigia ni mtu wako wa karibu. Bahati mbaya Satphone hazikai hewani muda wote na ukipiga unapokelewa na Voicemail inakula salio lako.