Recent content by Faith

  1. Faith

    January 2009 Job Opportunities

    Jamani naomba mniaidie kama mtu anaweza akawa na copy ya Daily News January 30 2009 kulikua na tangazo la kazi zilizotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.Its Urgent please mwenye msaada wa kupata hiyo kopi au kujua wapi nipate anisaidie
  2. Faith

    Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Nadhani hujanielewa ndugu...ninaowasifia na kuwafagilia ni MUSOKE, MASANJA KUA WALIKUA FAIR!!!LKN WENGINEO WALIKUA WANAPENDELEA JAPO WALITOFAUTIANA KTK UPENDELEO WAO NA MWAMI Mwami NDO ALIKUA ANAONGOZA KTK KUTOFAUTIANA NA WENZIE....KWANI YY ALIKUA NA 'WATU' WAKE LKN KWA KINA MESAKI HALI...
  3. Faith

    Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    naona umejaribu saaaaaaaaaaaaaaana kuwatetea hao walim wa chuo lkn UKWELI UNABAKI PALEPALE THEY ARE UNFAIR Wengi tumepita pale na maks tumeona zinavotolewa kiupendeleo japo watu km Sanga(RIP) NA MESAKI WALIKUA WAKIPENDELEA LKN WANABEBA DARASA ZIMA! mtu km mwami yy alikua anabase kwa watu wake...
  4. Faith

    SURA Vs BODY

    kuna wanawake wengine wakishazaa tu maumbo hubadilika, je kama ulimpendea shape may be before she was slim/portable etc shape ikaja haribika baada ya kuzaa like kunenepa hapo napo vipi???
  5. Faith

    Unamfahamu huyu?

    nyerere ama??? kafanyaje??
  6. Faith

    Binti wa Mramba anafanana na mama Anna

    angalia yangu ya harakaharaka naona km 'anafanania kwa mthee' mwenyewe mramba
  7. Faith

    padri vs muhumini

    utani mwingine mh!! ovyooooooooo
  8. Faith

    EPA na mambo yake

    Je ni kweli huyu Eda anahuhusiano na Rita Mlaki?? mtueleze jamani...
  9. Faith

    Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    Ndugu yangu asante kwa ushauri nimejaribu kumwambia atoe ulimi nje kwa kumuoneshea kwa vitendo yaani nami nikawa natoa maajabu anacheka/ananichekea tu hatoi nadhani kwakua mtoto tumeshindwa kuelewana sijui waweza kunipa mbinu/tiba mbadala?
  10. Faith

    Lundenga atelekeza familia

    na Eugenia Kimolo KESI ya madai inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency International, Hashim Lundenga, inatarajiwa kuanza kusikilizwa rasmi leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, chini ya Hakimu Jagalile Mwaseba. Kesi hiyo iliyofunguliwa Agosti 5, mwaka huu na mke wa...
  11. Faith

    Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Nina mtoto wangu wa kike ana mwaka mmoja na miezi sita, kila alalapo huwa anakoroma sana yaani unaweza ukahisi ni mtu mzima huo mkoromo wake! Je, hii husababishwa na nini? Naweza kumsaidiaje mwanangu aache kukoroma alalapo, maana hata...
  12. Faith

    Asiyewahi kucheat na ataje jina kamili humu

    tuombe tu uhai kwakweli ila as far as nimeona ndugu, jamaa, marafiki, majirani nk wakihangaika na wakiteseka kutokana na kucheat kwenye mahusiano yao esp.ndoa kwa kweli SITARAJII nitakuja hapa baradhani kuthibitisha hili usiofu kuhusu namba cwezi kutoa kwani si wote wenye nia njema
  13. Faith

    Asiyewahi kucheat na ataje jina kamili humu

    mimi ktk maisha ya r/ship ya kawaida cjawahi kucheat na pia toka nimeolewa ni miaka miwili sasa sijawahi kucheat na SITARAJII
  14. Faith

    Jee hii ni kweli?

    hao ni matapeli wala usitume details zako labda watumie tu email kuwa umewastukia tena wana jf tujihadhari wakati mwingine matapeli hutuma email kama hizi kwa email ya mtu unaemfahamu e.g rafikio then wanakwambia amekwama lets say Nigeria hana pesa na anahitaji msaada wa nauli hapo usitume...
  15. Faith

    Big Brother Africa III

    Huyu mdada ameambiwa siri ya ushindi ni kujishaua na kujilengeshalengesha kwa wanaume mana mh!anatisha aangalia asije akafanya yote hayo na asipate ushindi akawa kaishia kuchezewa tu hivi wakiingia humo jumbani wanakua wamepimwa afya??
Back
Top Bottom