Jamani naomba mniaidie kama mtu anaweza akawa na copy ya Daily News January 30 2009 kulikua na tangazo la kazi zilizotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.Its Urgent please mwenye msaada wa kupata hiyo kopi au kujua wapi nipate anisaidie
Nadhani hujanielewa ndugu...ninaowasifia na kuwafagilia ni MUSOKE, MASANJA KUA WALIKUA FAIR!!!LKN WENGINEO WALIKUA WANAPENDELEA JAPO WALITOFAUTIANA KTK UPENDELEO WAO NA MWAMI Mwami NDO ALIKUA ANAONGOZA KTK KUTOFAUTIANA NA WENZIE....KWANI YY ALIKUA NA 'WATU' WAKE LKN KWA KINA MESAKI HALI...
naona umejaribu saaaaaaaaaaaaaaana kuwatetea hao walim wa chuo lkn UKWELI UNABAKI PALEPALE THEY ARE UNFAIR
Wengi tumepita pale na maks tumeona zinavotolewa kiupendeleo japo watu km Sanga(RIP) NA MESAKI WALIKUA WAKIPENDELEA LKN WANABEBA DARASA ZIMA!
mtu km mwami yy alikua anabase kwa watu wake...
kuna wanawake wengine wakishazaa tu maumbo hubadilika, je kama ulimpendea shape may be before she was slim/portable etc shape ikaja haribika baada ya kuzaa like kunenepa hapo napo vipi???
Ndugu yangu asante kwa ushauri nimejaribu kumwambia atoe ulimi nje kwa kumuoneshea kwa vitendo yaani nami nikawa natoa maajabu anacheka/ananichekea tu hatoi nadhani kwakua mtoto tumeshindwa kuelewana sijui waweza kunipa mbinu/tiba mbadala?
na Eugenia Kimolo
KESI ya madai inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency International, Hashim Lundenga, inatarajiwa kuanza kusikilizwa rasmi leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, chini ya Hakimu Jagalile Mwaseba.
Kesi hiyo iliyofunguliwa Agosti 5, mwaka huu na mke wa...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Nina mtoto wangu wa kike ana mwaka mmoja na miezi sita, kila alalapo huwa anakoroma sana yaani unaweza ukahisi ni mtu mzima huo mkoromo wake!
Je, hii husababishwa na nini? Naweza kumsaidiaje mwanangu aache kukoroma alalapo, maana hata...
tuombe tu uhai kwakweli ila as far as nimeona ndugu, jamaa, marafiki, majirani nk wakihangaika na wakiteseka kutokana na kucheat kwenye mahusiano yao esp.ndoa kwa kweli SITARAJII
nitakuja hapa baradhani kuthibitisha hili usiofu
kuhusu namba cwezi kutoa kwani si wote wenye nia njema
hao ni matapeli wala usitume details zako labda watumie tu email kuwa umewastukia tena wana jf tujihadhari wakati mwingine matapeli hutuma email kama hizi kwa email ya mtu unaemfahamu e.g rafikio then wanakwambia amekwama lets say Nigeria hana pesa na anahitaji msaada wa nauli hapo usitume...
Huyu mdada ameambiwa siri ya ushindi ni kujishaua na kujilengeshalengesha kwa wanaume mana mh!anatisha aangalia asije akafanya yote hayo na asipate ushindi akawa kaishia kuchezewa tu
hivi wakiingia humo jumbani wanakua wamepimwa afya??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.