Kaka Mkubwa
Senior Member
- Oct 10, 2008
- 154
- 10
Binti wa Mramba aliyefunga ndoa juzi alionekana kufanana sana na first lady wa awamu ya tatu, inakuwaje?
mhh! Hii nayo haijakaa vizuri. Kwani huyu binti ndiye mramba aliyezaa na anna? Kaka mkubwa unataka kutuambia nini! Au una maana kaka (ndugu yeyote wa kiume) wa anna naye kalipiza kisasi kwa kuzaa na mke wa mramba?
Wengi hatukupata nafasi ya kuona picha yake. Ebu tuonyeshe picha hiyo.
nimeattach ukishindwa iyon aicheck humu www.darhotwire.com/homepage yani vilevile na macho ya kulala yale
Binti wa Mramba aliyefunga ndoa juzi alionekana kufanana sana na first lady wa awamu ya tatu, inakuwaje?