MtuSomeone
Member
- Dec 7, 2008
- 57
- 3
Wanajamii nimechelewa kuchangia hoja hii ambayo imenigusa moja kwa moja!! Lakini sidhani kama nitakuwa nimetenda dhambi kutoa maoni yangu!! Naomba nipewe nafasi nirejee hoja za Jeff, Mwanjamiione, Sipo, Nguogani na wengine waliochangia mada hii
Kwanza walaaniwe vijana wote waliokashifu wanataaluma wetu wa pale UDSM (Sociology Department) kwa kuwaona wao ndiyo waliokuwa chanzo cha UKILAZA wao na kutoka na MAKARAI kibao. Enzi za Mwalimu na Enzi tulizokuwapo sisi mlimani (wala si mbali, ni miaka ya 90 tu) Idara ya Sosiolojia ilikuwa imara, yenye kuheshimika na ilitoa wanataaluma mbalimbali ambao wapo katika nafasi mbali mbali katika taasisi za utafiti na vyuo vya elimu ya juu nchini!!
Kuna huyu mmoja kwa mfano (anadai kapitia hapo FASS miaka mingi kidogo iliyopita). Yeye anadai hali ni ile ile aliyoicha (hajatuambia aliacha hali gani). Kaniofurahisha alipokubali kuwa kina MUSOKE, CHACHAGE na MVUNGI walikuwa wakali mno lakini very fair! Amesahau tu hapa kuna Dr Sanga (RIP), Dr Massanja na Dr. Messaki.
Hapa ndiyo unapoona tatizo la wasomi wa sasa hivi...anamsifia Messaki kwa vile tu eti alikuwa akiona mnachukua kozi za MWAMI, CHACHAGE au MSOKE basi anawajaribu kutowabania marks!! Huu ni upuuzi mtupu walahi!! Sasa uzuri wa Messaki ni nini kama si kuwapa alama za bure??
Halafu kumbukeni kozi za Mwami kwa mfano (Qualitative Theories na Macro Sociology), au Chachage (Sociology of Knowledge) etc ni kozi mama ambazo zinahitaji sana Sociological understanding and kweli mtu uwe mkali wa kuelewa theories na philosophical bases of such theories...sasa wenzetu hawa wanaolalama ni wale wanaokuja kwenye seminar wanakaa njea ya madirisha, wakiwa kule Mabibo Hostel wangeuza vyumba vyao madanguro na sehemu za kujivinjari na ndiyo kila siku unawakuta wako pale Mlimani Hill wanakata ngano!! Hawa ndiyo wale waliingia Sociology kwa maelezo kuwa Sociology hakuna kufeli, wewe lala tu then utapata mteremko!!
Eti mtu na akili zake anamlalamikia Lecturer (na mimi nimemsahau jina kama yeye) kuwa anaingia darasani mara mbili kwa Semester ila anakamata!! Kwani Course work hukupewa? Ulisoma? Uliwahi kwenda kumconsult Assistant Lecturer au Seminar Leader kwa msaada ukakosa?? Mnataka mtafuniwe kila kitu nyie watu vipi ?? Mbona mimi huyo huyo lecturer kaingia darasani mara chache lakini nilipiga msonge ?? Qualitative Research Methods si lele mama we mtanganyika mwenzangu, tatizo letu tunataka tufike mlimani halafu tufundishwe kama tupo shule ya msingi au sekondari !! Kilichowakamatisha (wengi wenu ni utoto) matanuzi kwa wingi na kusubiri kulishwa !!
Huyu Dora wewe unamsifia kwa kitu gani?? Uzuri wa Sura? Unajua ualimu wa Chuo Kikuu hauangalii sura, nadhani wewe umemzimikia huyu demu ndiyo maana unasema alikuwa ok. My understanding Dora wako kafika hapo alipofika kwa nguvu za watu tunaowafahamu siye. In our class Dora alikuwa hawezi kusimama kutoa lecture au kunisimamia seminar maana mimi mwenyewe nilikuwa naingia Library an kujiandaa hasa (kwa nini nisubiri hadi nifundishwe wakati from day one napewa course guidelines/course outlines ??
Believe me, Mwami is one of the most outstanding Academician at the UDSM and in the annals of Sociology Department. Unajua nyie wasomi kwa sasa mshasahau kuwa Mlimani ni mahala pa kujifunza Mitazamo mabalimbali ya maendeleo ya mwanadamu!! Mwami ndiye mhimili wa Marxist School of Thought kwa sasa baada ya kuondoka kina Seth Chachage (RIP), Prof. Shivji, Prof. Musoke na wengineo sasa wasomi wangu wa leo wanadakia mambo wasiyayajua, huwezi kumuelewa Mwami wala kumuelezea kama hauelewi the underlying causes .the essence!! Ukifahamu essence ya kufeli kwenu hutamuelekezea kidole mtu, utaangalia mfumo mzima ulivyo usiwe msomi usiyeelimika wewe kijana!! Hata suala hilo unataka mkoloni arudi tena ndiyo tuelimishwe?? Tatizo lenu mnakariri kutoka kwa watu wakisema Mwami mbaya basi twende kazi .hatuendi hivyo mwanawane!! Wengi wenu mmekuwa victims wa Mwami kwa kuwa he is so friendly, so kwa uzembe wenu mnadhani kuwa nakuwa hivyo katika papers too!! Jamani hiyo itakuwa shule au balaa??
Mimi nasema (tena kwa sauti) wasomi wetu wa sasa (sijui kama wana usomi wowote ule) kwa kweli hawasomi (wengi wao) Mtu anataka tu kupata digirii lakini nia sahihi za kufuka pale hazitaki. Nimeona wengi, kwenye graduation wanapendeza kwa suti kali na sherehe za kutisha, lakini waulize the philosophical underpinning of the Marxist Philosophy usikie madudu yao!!
Ndugu yangu mmoja anadai kupata sup ni kawaida (namshangaa!!) Unjua kati ya kufeli na kufaulu kufeli ni kugumu sana?? Najua atanishangaa, lakini from day one unapewa zana ili ufaulu, unahudhuria lectures, unakwenda library, unajadiliana na wenzio, unaaccess internet etc bado unafeli?? Why?? Hapa utaona kufeli ni njia ngumu sana, lazima uwe umekiuka taratibu za kufaulu ili ufeli (sasa wote tunaingia Chuoni kwa nia ya kusoma na kufaulu, kwa nini ufeli hovyo??) Yes unaweza kuanguka, lakini lazima tukubali kuwa kama umejiandaa vema hakuna kufeli!! Hutapata A lakini hutakosa B au B+!! (Jamani hata C unakosa halafu unajiita msomi??)
Hii dhana ya kukomoana mimi siiamini hata kidogo!! Wakati naingia UDSM Professor Musoke alisema enzi zao walikuwa wakali sana na kwamba katika darasa lake mtu kupata B+ ]na A ni ya kusahau!! Lakini darasa letu tulikuwa si zaidi ya 60 maana wote walilikimbia, lakini hakuna aliyekamatwa na kulikuwa na A na B+ kadhaa. Wengi walikuwa na average pass ya B!! Sasa nini tatizo hapa?? Kwa maoni ya Mtanganyika mwenzangu mmoja hapa kwake huyu lecturer amepania kufelisha watu lakini haiwi hivyo sisi tulidhamiria kufaulu, Musoke hakosi lecture wala seminar na anafundisha haswa ila usipojibu mitihani yake kama alivyofundisha na usiposoma yeye anajua si lazima uwe malaika, utaona tu quality ya kazi ya mwanafunzi hairidhishi sasa bado mnataka mbebwe??
Mfumo wa elimu Tanzania hauharibiwi na walimu, ni wasomi wetu wenyewe ambao wakiwa pale chuo kutwa nzima ni kuonyeshana dizaini za simu za mkononi, kuvaa kibitozi na kisista duu na kuendekeza starehe!! Dada zetu ndiyo usiseme, sioni tofauti kubwa kati yao na wale wapiganaji niniowaona mitaa ya Kinondoni na Afrika Sana usiku. Hawataki kusoma ila wanataka kupata alama za bwerere .jamani tutafika kweli??
Na hii hoja ya Assistant Lecturers na Tutorial Assistants mmeitoa wapi ndugu zangu? Mnao ushahidi? Kwa nini usiwataje kwa majina na wasichana walikuwa wanapata alama za bure (lazima hawa watakuwa na 1st Class kwa mtazamo wako) !! Na ni wangapi hawa ?? OK, say mimi ni Assistant Lecturer, nasimamia Seminar tano 3rd year na kila seminar nina demu nampa alama A !! Ina maana masomo matano natoa A tano kwa mademu zangu !! Sasa tuangalie statistics, kuna Assistants na Tas wangapi Sociology (kama wapo 5 ina maana nategemea mademu kama 25 kupata A kwenye masomo wanayosimamiwa nao)!! Sasa Sociology kuna wanafunzi zaidi ya 300...wakipata A mademu kadhaa kwa kupendelewa inaathiri vioi perfomance yako wewe kama wewe?? Hii hoja haina msingi kabis akwa general perfomance yenu ndugu zangu! Kwa taarifa tu hao AL na TA wanpata vishawishi kibao kwa mademu zenu...ten vijana wa siku hizi wengi mmegeuka makuhadi wa kuwashawishi mademu wakaome kufundishwa then mnadesa kwao.....!!
Kuna huyu anasema nguogani umemgusa sana na anaamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi!! Huyu nadhani ndiyo wale maji fuata mkondo...hana jipya huyu!! Hivi wewe 1st Class unailewaje? Unadhani ni sawa na ile Division one yako ya kuibia mitihani kule sekondari ulikotoka?? Yes, Mlimani ni GPA yako tu itakaokugfanya uwe makini ukitoka!! Namkumbuka sana Professor Masenge na msemo wake...it is very easy to make it to the University but it is very difficulty to make it through the University kwa wengine waliokuwa na nia ya kuwa na GPA nzuri, pamoja na matatizo yote tyaliyopo wao wamefanikiwa sasa nyie mliokuwa mnadhani Mlimani ni kujionyesha mitaani sasa ndiyo wakati wa kucheki GPA yako kama ililipa au la!! Hayo majibu tutayachukua next time!! Unadai eti mwaka jana kulikuwa na first class moja na grade C, yes, ulitaka tufanyaje!! Mwaka wangu pia ilikuwapo 1st Class 1 tu, Department hiyohiyo uliyosoma lakini sisi tulikuwa makini, makarai ilikuwa ni adui wetu, wengi walipata Upper Second na wachache wakawa na Lower Second...na ndio ilikuwa fashion tuliyochagua kwa vitendo kwa hiyo na nyie uchaguzi wenu umepita, nini lawama??. Halafu wewe msomi butu usiwe muongo, hivi kweli KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' kama haipo Library wewe umekosa jinsi ya kuipata? Mbona kila siku upo kwenye internet unaangalia Pornography??
Mwingine naye eti anachangia bila aibu kuwa anamuuunga mkono Nguogani
kuwa pale department ya sociology waalim wapo kujisifia kufelisha na kwamba anakumbuka kipindi anamaliza yeye first class zilikua kama 20 kwa wahitimu zaidi ya 500! Jamani hii ni kweli?? Naomba mwongozo wanajamii...Kama kweli huyu muhusika ataleta data mimi nipo tayari kukutana naye na kumipa fidia...Sociology 1st Calss 20?? Are you kidding me?? Nadhani hapa wote tunaelewa ni wasomi wa aina gani tulionao...facts speak by themselves!!
Jamani mimi ngoja niachie hapa kwa leo, wasomi wetu mmetuaibisha sana kwa hoja ambazo asilimia 95% yake si sahihi!! Kweli inawezekana wapo walimu na wasaidizi wao ambao huwa hwatendi haki, lakini biased view kwenye elimu ni kawaida. Kwa masuala ya hao wanaohonga beer na mengineyo ambayo yapo nje ya elimu mimi siwezi kuchangia!!
Inachonishangaza ni ubebaji wa hoja bila kuwa na data za utetezi. Mimi nasema kufeli kwenu kunasababishwa na uzembe na kutotilia mkazo elimu. Manaendekeza starehe, mnaigeuza Mabibo Hostel kuwa uwanja wa fisi na Mlimani kuwa Holywood yenu..manaigiza maisha ya kisomi lakini hamfuati maadili ya usomi kwa mtindo huo hata huko mlikoajitiwa hamtaacha kulalamikia waajiri wenu!!
Kwanza walaaniwe vijana wote waliokashifu wanataaluma wetu wa pale UDSM (Sociology Department) kwa kuwaona wao ndiyo waliokuwa chanzo cha UKILAZA wao na kutoka na MAKARAI kibao. Enzi za Mwalimu na Enzi tulizokuwapo sisi mlimani (wala si mbali, ni miaka ya 90 tu) Idara ya Sosiolojia ilikuwa imara, yenye kuheshimika na ilitoa wanataaluma mbalimbali ambao wapo katika nafasi mbali mbali katika taasisi za utafiti na vyuo vya elimu ya juu nchini!!
Kuna huyu mmoja kwa mfano (anadai kapitia hapo FASS miaka mingi kidogo iliyopita). Yeye anadai hali ni ile ile aliyoicha (hajatuambia aliacha hali gani). Kaniofurahisha alipokubali kuwa kina MUSOKE, CHACHAGE na MVUNGI walikuwa wakali mno lakini very fair! Amesahau tu hapa kuna Dr Sanga (RIP), Dr Massanja na Dr. Messaki.
Hapa ndiyo unapoona tatizo la wasomi wa sasa hivi...anamsifia Messaki kwa vile tu eti alikuwa akiona mnachukua kozi za MWAMI, CHACHAGE au MSOKE basi anawajaribu kutowabania marks!! Huu ni upuuzi mtupu walahi!! Sasa uzuri wa Messaki ni nini kama si kuwapa alama za bure??
Halafu kumbukeni kozi za Mwami kwa mfano (Qualitative Theories na Macro Sociology), au Chachage (Sociology of Knowledge) etc ni kozi mama ambazo zinahitaji sana Sociological understanding and kweli mtu uwe mkali wa kuelewa theories na philosophical bases of such theories...sasa wenzetu hawa wanaolalama ni wale wanaokuja kwenye seminar wanakaa njea ya madirisha, wakiwa kule Mabibo Hostel wangeuza vyumba vyao madanguro na sehemu za kujivinjari na ndiyo kila siku unawakuta wako pale Mlimani Hill wanakata ngano!! Hawa ndiyo wale waliingia Sociology kwa maelezo kuwa Sociology hakuna kufeli, wewe lala tu then utapata mteremko!!
Eti mtu na akili zake anamlalamikia Lecturer (na mimi nimemsahau jina kama yeye) kuwa anaingia darasani mara mbili kwa Semester ila anakamata!! Kwani Course work hukupewa? Ulisoma? Uliwahi kwenda kumconsult Assistant Lecturer au Seminar Leader kwa msaada ukakosa?? Mnataka mtafuniwe kila kitu nyie watu vipi ?? Mbona mimi huyo huyo lecturer kaingia darasani mara chache lakini nilipiga msonge ?? Qualitative Research Methods si lele mama we mtanganyika mwenzangu, tatizo letu tunataka tufike mlimani halafu tufundishwe kama tupo shule ya msingi au sekondari !! Kilichowakamatisha (wengi wenu ni utoto) matanuzi kwa wingi na kusubiri kulishwa !!
Huyu Dora wewe unamsifia kwa kitu gani?? Uzuri wa Sura? Unajua ualimu wa Chuo Kikuu hauangalii sura, nadhani wewe umemzimikia huyu demu ndiyo maana unasema alikuwa ok. My understanding Dora wako kafika hapo alipofika kwa nguvu za watu tunaowafahamu siye. In our class Dora alikuwa hawezi kusimama kutoa lecture au kunisimamia seminar maana mimi mwenyewe nilikuwa naingia Library an kujiandaa hasa (kwa nini nisubiri hadi nifundishwe wakati from day one napewa course guidelines/course outlines ??
Believe me, Mwami is one of the most outstanding Academician at the UDSM and in the annals of Sociology Department. Unajua nyie wasomi kwa sasa mshasahau kuwa Mlimani ni mahala pa kujifunza Mitazamo mabalimbali ya maendeleo ya mwanadamu!! Mwami ndiye mhimili wa Marxist School of Thought kwa sasa baada ya kuondoka kina Seth Chachage (RIP), Prof. Shivji, Prof. Musoke na wengineo sasa wasomi wangu wa leo wanadakia mambo wasiyayajua, huwezi kumuelewa Mwami wala kumuelezea kama hauelewi the underlying causes .the essence!! Ukifahamu essence ya kufeli kwenu hutamuelekezea kidole mtu, utaangalia mfumo mzima ulivyo usiwe msomi usiyeelimika wewe kijana!! Hata suala hilo unataka mkoloni arudi tena ndiyo tuelimishwe?? Tatizo lenu mnakariri kutoka kwa watu wakisema Mwami mbaya basi twende kazi .hatuendi hivyo mwanawane!! Wengi wenu mmekuwa victims wa Mwami kwa kuwa he is so friendly, so kwa uzembe wenu mnadhani kuwa nakuwa hivyo katika papers too!! Jamani hiyo itakuwa shule au balaa??
Mimi nasema (tena kwa sauti) wasomi wetu wa sasa (sijui kama wana usomi wowote ule) kwa kweli hawasomi (wengi wao) Mtu anataka tu kupata digirii lakini nia sahihi za kufuka pale hazitaki. Nimeona wengi, kwenye graduation wanapendeza kwa suti kali na sherehe za kutisha, lakini waulize the philosophical underpinning of the Marxist Philosophy usikie madudu yao!!
Ndugu yangu mmoja anadai kupata sup ni kawaida (namshangaa!!) Unjua kati ya kufeli na kufaulu kufeli ni kugumu sana?? Najua atanishangaa, lakini from day one unapewa zana ili ufaulu, unahudhuria lectures, unakwenda library, unajadiliana na wenzio, unaaccess internet etc bado unafeli?? Why?? Hapa utaona kufeli ni njia ngumu sana, lazima uwe umekiuka taratibu za kufaulu ili ufeli (sasa wote tunaingia Chuoni kwa nia ya kusoma na kufaulu, kwa nini ufeli hovyo??) Yes unaweza kuanguka, lakini lazima tukubali kuwa kama umejiandaa vema hakuna kufeli!! Hutapata A lakini hutakosa B au B+!! (Jamani hata C unakosa halafu unajiita msomi??)
Hii dhana ya kukomoana mimi siiamini hata kidogo!! Wakati naingia UDSM Professor Musoke alisema enzi zao walikuwa wakali sana na kwamba katika darasa lake mtu kupata B+ ]na A ni ya kusahau!! Lakini darasa letu tulikuwa si zaidi ya 60 maana wote walilikimbia, lakini hakuna aliyekamatwa na kulikuwa na A na B+ kadhaa. Wengi walikuwa na average pass ya B!! Sasa nini tatizo hapa?? Kwa maoni ya Mtanganyika mwenzangu mmoja hapa kwake huyu lecturer amepania kufelisha watu lakini haiwi hivyo sisi tulidhamiria kufaulu, Musoke hakosi lecture wala seminar na anafundisha haswa ila usipojibu mitihani yake kama alivyofundisha na usiposoma yeye anajua si lazima uwe malaika, utaona tu quality ya kazi ya mwanafunzi hairidhishi sasa bado mnataka mbebwe??
Mfumo wa elimu Tanzania hauharibiwi na walimu, ni wasomi wetu wenyewe ambao wakiwa pale chuo kutwa nzima ni kuonyeshana dizaini za simu za mkononi, kuvaa kibitozi na kisista duu na kuendekeza starehe!! Dada zetu ndiyo usiseme, sioni tofauti kubwa kati yao na wale wapiganaji niniowaona mitaa ya Kinondoni na Afrika Sana usiku. Hawataki kusoma ila wanataka kupata alama za bwerere .jamani tutafika kweli??
Na hii hoja ya Assistant Lecturers na Tutorial Assistants mmeitoa wapi ndugu zangu? Mnao ushahidi? Kwa nini usiwataje kwa majina na wasichana walikuwa wanapata alama za bure (lazima hawa watakuwa na 1st Class kwa mtazamo wako) !! Na ni wangapi hawa ?? OK, say mimi ni Assistant Lecturer, nasimamia Seminar tano 3rd year na kila seminar nina demu nampa alama A !! Ina maana masomo matano natoa A tano kwa mademu zangu !! Sasa tuangalie statistics, kuna Assistants na Tas wangapi Sociology (kama wapo 5 ina maana nategemea mademu kama 25 kupata A kwenye masomo wanayosimamiwa nao)!! Sasa Sociology kuna wanafunzi zaidi ya 300...wakipata A mademu kadhaa kwa kupendelewa inaathiri vioi perfomance yako wewe kama wewe?? Hii hoja haina msingi kabis akwa general perfomance yenu ndugu zangu! Kwa taarifa tu hao AL na TA wanpata vishawishi kibao kwa mademu zenu...ten vijana wa siku hizi wengi mmegeuka makuhadi wa kuwashawishi mademu wakaome kufundishwa then mnadesa kwao.....!!
Kuna huyu anasema nguogani umemgusa sana na anaamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi!! Huyu nadhani ndiyo wale maji fuata mkondo...hana jipya huyu!! Hivi wewe 1st Class unailewaje? Unadhani ni sawa na ile Division one yako ya kuibia mitihani kule sekondari ulikotoka?? Yes, Mlimani ni GPA yako tu itakaokugfanya uwe makini ukitoka!! Namkumbuka sana Professor Masenge na msemo wake...it is very easy to make it to the University but it is very difficulty to make it through the University kwa wengine waliokuwa na nia ya kuwa na GPA nzuri, pamoja na matatizo yote tyaliyopo wao wamefanikiwa sasa nyie mliokuwa mnadhani Mlimani ni kujionyesha mitaani sasa ndiyo wakati wa kucheki GPA yako kama ililipa au la!! Hayo majibu tutayachukua next time!! Unadai eti mwaka jana kulikuwa na first class moja na grade C, yes, ulitaka tufanyaje!! Mwaka wangu pia ilikuwapo 1st Class 1 tu, Department hiyohiyo uliyosoma lakini sisi tulikuwa makini, makarai ilikuwa ni adui wetu, wengi walipata Upper Second na wachache wakawa na Lower Second...na ndio ilikuwa fashion tuliyochagua kwa vitendo kwa hiyo na nyie uchaguzi wenu umepita, nini lawama??. Halafu wewe msomi butu usiwe muongo, hivi kweli KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' kama haipo Library wewe umekosa jinsi ya kuipata? Mbona kila siku upo kwenye internet unaangalia Pornography??
Mwingine naye eti anachangia bila aibu kuwa anamuuunga mkono Nguogani
kuwa pale department ya sociology waalim wapo kujisifia kufelisha na kwamba anakumbuka kipindi anamaliza yeye first class zilikua kama 20 kwa wahitimu zaidi ya 500! Jamani hii ni kweli?? Naomba mwongozo wanajamii...Kama kweli huyu muhusika ataleta data mimi nipo tayari kukutana naye na kumipa fidia...Sociology 1st Calss 20?? Are you kidding me?? Nadhani hapa wote tunaelewa ni wasomi wa aina gani tulionao...facts speak by themselves!!
Jamani mimi ngoja niachie hapa kwa leo, wasomi wetu mmetuaibisha sana kwa hoja ambazo asilimia 95% yake si sahihi!! Kweli inawezekana wapo walimu na wasaidizi wao ambao huwa hwatendi haki, lakini biased view kwenye elimu ni kawaida. Kwa masuala ya hao wanaohonga beer na mengineyo ambayo yapo nje ya elimu mimi siwezi kuchangia!!
Inachonishangaza ni ubebaji wa hoja bila kuwa na data za utetezi. Mimi nasema kufeli kwenu kunasababishwa na uzembe na kutotilia mkazo elimu. Manaendekeza starehe, mnaigeuza Mabibo Hostel kuwa uwanja wa fisi na Mlimani kuwa Holywood yenu..manaigiza maisha ya kisomi lakini hamfuati maadili ya usomi kwa mtindo huo hata huko mlikoajitiwa hamtaacha kulalamikia waajiri wenu!!