Recent content by Ezeb

  1. Ezeb

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Hv kwa wale ambao hua wanazamia usahili nn hua kinawakuta?
  2. Ezeb

    Office Machine Mechanics

    Kuna hii kozi inatolewa na Veta dsm inahusika na ufundi wa office machines kama printers na photocopy machine. Nimewiwa kuisoma hii kozi naomba kufahamu soko na faida ya hii kozi.
  3. Ezeb

    Raha za ndani ya mwendo kasi

    hawa kinadada hua wanafeel aje wakiwa kwe hii situation?
  4. Ezeb

    Hivi ni kwanini Watanzania ni waoga kufanya manunuzi Mtandaoni?

    Hawa wauzaji mitandaoni walichomfanyia rafik yangu sina ham nao.
  5. Ezeb

    HOW TO DETECT A HIDDEN CAMERA IN A ROOM

    Bonge la somo. Leta nyingine anytime
  6. Ezeb

    Nilivyogharamia harusi ya mchumba wangu bila kujijua

    Dear Hustle ni wazi penzi lako ni safi na uniacha happy kubaki nawe kismat Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Ezeb

    Tofauti kati ya provisional result za chuo na transcript

    Je provisional inaweza tumika kwenye job application??
  8. Ezeb

    Tofauti kati ya provisional result za chuo na transcript

    Habarini za jion Wadau nina swal nahitaji kufaham, Hivi ikitokea mhitim kapata tangazo la kaz anahitaji kufanya application ya kaz na transcript hazijatoka.Je anauwezo wa kutumia provisional result na mambo yakaenda vizur?
  9. Ezeb

    Siku nne za uumbaji zilikuwa zinapatikanaje kabla ya kuumbwa jua?

    Hii imenifungua akili kidogo.
  10. Ezeb

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nasogeza umri ili nianze shule.....ntarudi kunena nikifika chuo
  11. Ezeb

    Tuliowahi kuwa viranja shule ya msingi tukutane hapa

    Wanasemaje hapo Ofisi za Haki za binadamu
Back
Top Bottom