Kuna hii kozi inatolewa na Veta dsm inahusika na ufundi wa office machines kama printers na photocopy machine.
Nimewiwa kuisoma hii kozi naomba kufahamu soko na faida ya hii kozi.
Habarini za jion
Wadau nina swal nahitaji kufaham, Hivi ikitokea mhitim kapata tangazo la kaz anahitaji kufanya application ya kaz na transcript hazijatoka.Je anauwezo wa kutumia provisional result na mambo yakaenda vizur?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.