Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Ivi wadau wote kimya mumekatwa ama? Chenjon, Joel,innoxvii,victor,NHM360 ,tony kujeni apa
 
Daaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hii PSRS ndio nini mkuu
 
Back
Top Bottom