Msaada wa ushauri mahusiano yangu yamevurugika

Msaada wa ushauri mahusiano yangu yamevurugika

Umeeleza kwa busara nakupongeza kwa hilo, lakini hebu tumia robo ya busara uliyotumia hapa utatue hiyo changamoto, kwenye mahusiano kuna wakati unaweza kuishi naye kama paka na panya, lakini pia kama unaona haeleweki hata busara za Sulemani anasema mpende akupendaye[emoji483]
 
japo ninatakiwa kusafiri km nyingi sana kumfata alipo more 15000km kumfata alipo ili nikaongee naye face to face!!
Inaonekana mmekuwa mbali mbali kwa muda mrefu ndo maana amekakukatia tamaa, amehisi pengine ulimweka pending.

Kama kweli unampenda nenda tu, mkayazungumze nahakika atakuelewa. Kuongea face to face kuna nguvu sana kuliko kwny simu
 
Inaonekana mmekuwa mbali mbali kwa muda mrefu ndo maana amekakukatia tamaa, amehisi pengine ulimweka pending.

Kama kweli unampenda nenda tu, mkayazungumze nahakika atakuelewa. Kuongea face to face kuna nguvu sana kuliko kwny simu
Ok let me try Zuriel_cfc ni kweli ukisemacho distance ilikuwepo
 
Muhenga mie nimeshuhudia mengi
Meeyah unaweza kushare na mimi kidogo story experience yako nami nipate kujifunza na kupata ujasiri wa kufanya maamuzi kama wewe!!
 
Meeyah unaweza kushare na mimi kidogo story experience yako nami nipate kujifunza na kupata ujasiri wa kufanya maamuzi kama wewe!!
Kushare story sio rahisi maana haivutii hata kidogo, nilishafanya maamuzi ambayo hayakuwa sahihi na Sasa hivi ndo nagundua while it's too late. Maisha lazima yaendelee...
 
@ankai
Mkuu umeshauri vema sana laiti angechukua ushauri huu. Huu ndo ushauri bora kabisa.

Mwanamke akishasena "basi" ni basi kweli kweli kweli wala harudi nyuma. Mtabaki mnashangaa kua mbona alikotoka ni bora kuliko anakoenda?, lkn yy harudi nyuma walakujali maneno yenu.

Wanawake ni viumbe vya sayari nyingne...yaani mwanaume katoka sayari nyingne na mwanamke katoka sayari nyingne wakakutana kuishi pamoja.

Kwa hiyo mwanamke haijulikani anahitaji nn na wanasayansi pa1 na wana saikolojia wameshindwa kum-define mwanamke.

Utamnunulia gari...akikutana na mtu akamuwekea mafuta njiani, atakusahau ww ulienunua hilo gari.

Ukimjengea nyumba, mlango ukaharibika akapata fundi wa kuutengeneza atakusahau ww uliejenga nyumba.

So women are undefinable.

Ni kujitesa sana na ni ujinga (sio upumbavu) kama utateseka kwa sababu ya kiumbe ambae haijulikani anahitaj nn.

Mheshimu binadamu mwenzako ( mwanaume) kwa sababu yy atakusaidia...yy ndo rafiki wa kweli. Viumbe vingne hivi ni kwa ajili ya starehe na kuburudika tu. Ukishatoka hapo sahau usiweke kwenye ubongo wako. Piga kazi kwa bidii...pata pesa.

Ww vip jamaa. Women??????!

Ahmad A.
 
Hapo pagumu mzee baba,,kifupi amesha pata jamaa mwingine.niliwahi kupitia situation kama hyo mwaka jana mwezi wa nane.
Mwanamke alibadilika kabisa, Katika harakati za kumuuliza aliniweka wazi kuwa amesha pata mtu mwingine hivo sina budi kuendelea na maisha yangu.. Na akadai kuwa she will cherish the moment we had together...
Nilibembeleza saana, nililia saana.. Lakini hakunielewa. Sito sahau ilikuwa tarehe 14/08/2018 sa nne usiku..
Siku zilienda, nkiwa naendelea kubembeleza akawa hapokei simu wala kujibu sms. Kifupi niliona dunia imenielemea, nilikuja hapa kuomba ushauri,nilipewa ushauri nikaweza ku move on bila yeye.
Ni mwanamke niliye dumu naye kwa miaka mitatu..
Ni story ndefu, ila ntashare na wewe pm ili ujifunze.
Usisahau kuni-Cc
 
Hapo pagumu mzee baba,,kifupi amesha pata jamaa mwingine.niliwahi kupitia situation kama hyo mwaka jana mwezi wa nane.
Mwanamke alibadilika kabisa, Katika harakati za kumuuliza aliniweka wazi kuwa amesha pata mtu mwingine hivo sina budi kuendelea na maisha yangu.. Na akadai kuwa she will cherish the moment we had together...
Nilibembeleza saana, nililia saana.. Lakini hakunielewa. Sito sahau ilikuwa tarehe 14/08/2018 sa nne usiku..
Siku zilienda, nkiwa naendelea kubembeleza akawa hapokei simu wala kujibu sms. Kifupi niliona dunia imenielemea, nilikuja hapa kuomba ushauri,nilipewa ushauri nikaweza ku move on bila yeye.
Ni mwanamke niliye dumu naye kwa miaka mitatu..
Ni story ndefu, ila ntashare na wewe pm ili ujifunze.
Ntumie namm nijifunze napitia humo humo[emoji22]
 
Inshort umefumbafumba sana ila kwa mwenye kuelewa kaelewa.

Mkuu tatizo limeanzia kwako unaonekana umemtesa sana huyu binti, na ameona hufai kuwa mume wake. Haswa kipindi karudi kwao akiwa mgonjwa.

Naishia hapo ukweli unaujua...
 
Inshort umefumbafumba sana ila kwa mwenye kuelewa kaelewa.

Mkuu tatizo limeanzia kwako unaonekana umemtesa sana huyu binti, na ameona hufai kuwa mume wake. Haswa kipindi karudi kwao akiwa mgonjwa.

Naishia hapo ukweli unaujua...
Sawa nimekuelewa kaka bt what about second means?
 
Inshort umefumbafumba sana ila kwa mwenye kuelewa kaelewa.

Mkuu tatizo limeanzia kwako unaonekana umemtesa sana huyu binti, na ameona hufai kuwa mume wake. Haswa kipindi karudi kwao akiwa mgonjwa.

Naishia hapo ukweli unaujua...
Lengo langu ni suluhisho na si lawama wala kujilaumu umenikosoa emu nipe suluhisho la hili swala kama unalo!
 
Watu kumbe mpo ktk njia moja
Ila bro ile Pm yako sijaweza kuifungua co Pm yangu inazingua maana ata baada ya kuirestart simu bado imegoma kufnguka so yale material ulionitumia bado sijafanikiwa kuyasoma mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom