Mkirua,
Namba moja naomba ufafanuzi! 2036,666*10% = 183,2994 kivipi? Kihesabu 2,036,666 *10% ni 203,666/=
Pili, Umezingatia hili kuwa maximum Tax deductible NSSF ni 200,000?=
Hivyo Taxable amount ni 2,036,666 - 200,000 = 1,836,666/= sasa endelea na uhasibu wako. Naomba kusahihishwa!