Hayo ndiyo maajabu yenyewe sasa!!Kilicho muhimu kwake ni kikosi cha jeshi na si waathirika wa mabomu...... OK..... we shall see...
Rekebisha Heading Mkuu. Mbagala au Gongo la Mboto! Endelea Kutuhabarisha sie tupo ofisini . Generator inakula wese tukisuburi mitambo mipya ya dharura.
Rekebisha Heading Mkuu. Mbagala au Gongo la Mboto! Endelea Kutuhabarisha sie tupo ofisini . Generator inakula wese tukisuburi mitambo mipya ya dharura.
Wizi mtupu!!!Yani natamani yamkute yaliyowakuta watu wa huko jana....sioni kwenda kwake kutembelea eneo la tukio kunawasaidia vipi waliopatwa na maafa!!!
same old story hata mbagala alienda mbona...? wanaohusika wawajibishwe kwanza
wananchi wa gongo la mboto muulizeni kafata nini hapo wakati wazembe bado wanatumia V8 za umma? usikute waziri mwenye dhamana nae yupi kwenye msafara
Nafikir moja ya bomu lingelipukia msafara wake ndio angejua habari yakeApigwe mawe!!Kwenda kwake kutembelea kunawasaidia nini watu ambao wameathirika??
mi nadhani bomu moja lijitolee kumuonyesha mfano ilivyokuwa akiwa hapo.....hivi hivi kwa kutembelea hataelewa