Kuna utapeli mpya umezuka wakati huu wa Promotion za tIGO.
Nimetumiwa sms toka +255652165304 inasomeka hivi " PATA OFA KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*652165304*4848#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO"
NIMEJARIBU NIKALIZWA , NAKATUMIWA UJUMBE TOKA 100, Sh 4848.00 imetumwa kwenda 652165304. Kisha matapeli wakinipigia simu na kuuliza kama nina salio na fedha kwenye tiGO PESA. Kisha wakazima simu. Nimewapigia tiGO customer care kwa namba 100 bila mafanikio. Nimejaribu kupiga jioni hii ile namba ya matapeli inaitwa bila majibu.
NIMEANDIKA KUWATAHADHARISHA NA MSAADA WA KOMESHA UTAPELI HUU
Nimetumiwa sms toka +255652165304 inasomeka hivi " PATA OFA KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*652165304*4848#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO"
NIMEJARIBU NIKALIZWA , NAKATUMIWA UJUMBE TOKA 100, Sh 4848.00 imetumwa kwenda 652165304. Kisha matapeli wakinipigia simu na kuuliza kama nina salio na fedha kwenye tiGO PESA. Kisha wakazima simu. Nimewapigia tiGO customer care kwa namba 100 bila mafanikio. Nimejaribu kupiga jioni hii ile namba ya matapeli inaitwa bila majibu.
NIMEANDIKA KUWATAHADHARISHA NA MSAADA WA KOMESHA UTAPELI HUU