JIHADHARI NA MATAPELI PROMOTION YA tIGO

ESCO

Member
Sep 23, 2010
22
1
Kuna utapeli mpya umezuka wakati huu wa Promotion za tIGO.
Nimetumiwa sms toka +255652165304 inasomeka hivi " PATA OFA KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*652165304*4848#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO"

NIMEJARIBU NIKALIZWA , NAKATUMIWA UJUMBE TOKA 100, Sh 4848.00 imetumwa kwenda 652165304. Kisha matapeli wakinipigia simu na kuuliza kama nina salio na fedha kwenye tiGO PESA. Kisha wakazima simu. Nimewapigia tiGO customer care kwa namba 100 bila mafanikio. Nimejaribu kupiga jioni hii ile namba ya matapeli inaitwa bila majibu.

NIMEANDIKA KUWATAHADHARISHA NA MSAADA WA KOMESHA UTAPELI HUU
 
Kuna utapeli mpya umezuka wakati huu wa Promotion za tIGO.
Nimetumiwa sms toka +255652165304 inasomeka hivi " PATA OFA KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*652165304*4848#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO"

NIMEJARIBU NIKALIZWA , NAKATUMIWA UJUMBE TOKA 100, Sh 4848.00 imetumwa kwenda 652165304. Kisha matapeli wakinipigia simu na kuuliza kama nina salio na fedha kwenye tiGO PESA. Kisha wakazima simu. Nimewapigia tiGO customer care kwa namba 100 bila mafanikio. Nimejaribu kupiga jioni hii ile namba ya matapeli inaitwa bila majibu.

NIMEANDIKA KUWATAHADHARISHA NA MSAADA WA KOMESHA UTAPELI HUU
Mimi ningekuwa hakimu ukiniletea malalamiko kama hayo nakuhukumu kuchapwa vikobo 12.... yes.... kwa ujinga uliopitiliza
 
Hata mimi majuzi imeingia sms inasema "Tigo inakuarifu kwamba mtumiaji wa namba 657161354 amekutumia ujumbe. Andika OK kukubali kulipia gharama za ujumbe huu"
Nikiangalia namba iliotuma ujumbe ni 25555740657161354, ambayo ni hii hii.
Nikawaona ovyoooo wanadhani mie wa kuibiwa kijinga, nikawakumria mbali.
 
kwa kweli kwanza ningeanza kukupa adhabu wewe.unatumia tigo halafu hujui no ya kuhamisha salio ni *101*? Ndio maana mmeambiwa na mwana Fa msije mjini.hii ndo bongo bana!
 
Mimi ningekuwa hakimu ukiniletea malalamiko kama hayo nakuhukumu kuchapwa vikobo 12.... yes.... kwa ujinga uliopitiliza

Yaani huyu ni kilaza haswa,inaonekana akikutana na zile za wanaijeria kutoka yahoo, au window live atapagawa kabisa huyu akifikiri kashautoa umaskini. Acha ujinga wewe,no gain without pain.shtuka machale kundesa jamaa angu.
 
In fwakt hata mie
sijui hiyo process
ya huhamisha hela
Natumiaga ile
ya huduma za tgo
aisee

ila hawa tigo
hawapokeagi
hiyo no ya
customer care
si waiondoe
na watuambie
hyo service
is no more!
Aghrrrr
 
Huu ni WIZI! Hiyo namba inaweza kuwa, ama imesajiliwa au la, haijasajiliwa. Jaribu bahati yako. Chukua ushahidi wako, nenda Polisi, lakini sidhani kama TiGo watakupa ushirikiano. Hawapendi kuhusishwa na utapeli unaotumika kupitia mtandao wao. Jibu? ISUSIENI TIGO! Kwani kuna ulazima wa kutumia mtandao huo wa MAFISADI? MUMEROGWA?


Kuna utapeli mpya umezuka wakati huu wa Promotion za tIGO.
Nimetumiwa sms toka +255652165304 inasomeka hivi " PATA OFA KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*652165304*4848#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO"

NIMEJARIBU NIKALIZWA , NAKATUMIWA UJUMBE TOKA 100, Sh 4848.00 imetumwa kwenda 652165304. Kisha matapeli wakinipigia simu na kuuliza kama nina salio na fedha kwenye tiGO PESA. Kisha wakazima simu. Nimewapigia tiGO customer care kwa namba 100 bila mafanikio. Nimejaribu kupiga jioni hii ile namba ya matapeli inaitwa bila majibu.

NIMEANDIKA KUWATAHADHARISHA NA MSAADA WA KOMESHA UTAPELI HUU
 
Pole sana mtu wangu! Hao jamaa walishanitumiaga msg kama hiyo takribani kama miezi miwili iliyopita. Ila niliwazidi ujanja zaidi hivyo hawakufanikiwa kabisa. Siku nyingine mkuu kuwa makini na vitu kama hivyo umefanya jambo la maana sana kuwajulisha wana jamii ili na wao wasije kuingia kwa huwo mtego.
 
Huu ni WIZI! Hiyo namba inaweza kuwa, ama imesajiliwa au la, haijasajiliwa. Jaribu bahati yako. Chukua ushahidi wako, nenda Polisi, lakini sidhani kama TiGo watakupa ushirikiano. Hawapendi kuhusishwa na utapeli unaotumika kupitia mtandao wao. Jibu? ISUSIENI TIGO! Kwani kuna ulazima wa kutumia mtandao huo wa MAFISADI? MUMEROGWA?

halafu tuupe shavu mtandao gani usiokua wa mafisadi?
 
kuna akina dada walimliza mwenye duka la boutique 682,000/-
walifika dukani kwa kujiamini mashamsham kibaao.. Wakaanza kujaribu na kisha wakaomba wafungiwe mzigo wao,maana walikuwa wanawahi airport..

Walichukua handbags,viatu pea kadhaa,na makorokoro mengine.. Baadaye wakamuuliza mwenye duka kama kajiunga na tiGO pesa,mwenye duka akasema hajajiunga,akamuuliza mfanyakazi wake,akasema kajiunga.

Wale wadada wakaomba namba walipe pesa.. Huku wanapiga stori nyingi,na kusema wamepata duka lina collection kubwa,hawatashop maduka mengine..
Mmojawao akamuuliza yule dada wa kazi kama hela imeingia,akajibu haijaingia bado..Basi akamwambia yule dada wa kazi pale dukani ampe simu yake kisha akaichezea kama dakika mbili,kisha akasema ujumbe si huo hapo hela imeingia tayari... Wale wakasoma ujumbe,na wakaagana..

Baada ya muda kidogo waliamua kuangalia salio na kukuta hamna kitu! Wakaja kugundua kuwa wameibiwa! Je mwajua waliibiwaje? Ni kwamba mwizi yule alisave namba yake kwenye simu ya yule dada wa kazi pale dukani kwa jina la TIGO PESA. Kisha akatuma ujumbe kama unavyoandikwa na wenyewe wenye huduma kuwa UMEPOKEA Sh....

Mpo hapo?
 
Ingawa tangazo lao dada Shirima kupata mchumba kupitia facebook ni zuri sana...nimeliona kupitia TBC..
 
Ha ha! Pole,kwani hukujua kuwa *101* ni namba ya kuhamisha salio?
Shida ya kupenda mteremko!
 
Ha ha! Pole,kwani hukujua kuwa *101* ni namba ya kuhamisha salio?
Shida ya kupenda mteremko!

Asante ndugu. Mtandao huu nautumia kama ziada tu (kupiga na kupokea simu tu) . Hivyo sikujua kuhamisha salio, na sasa najua.
Hoja yangu kuwahadharisha na huyu Tapeli. Hii namba (0652165304) ninaipiga inaita bila kupokelewa (hata wewe jaribu). Huyu anaendelea na utapeli wake. Naomba mwenye namba ya watu wa customer care -tiGO wanipe. Nataka kutoa ushahidi ili tapeli huyu adhibitiwe. Asante
 
Back
Top Bottom