Recent content by Escaper

  1. Escaper

    Warithi wa Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli

    Umemsahau Deo Filikunjombe nae aliuawa na wanaCCM. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Escaper

    Supu Special Thread: Jifunze jinsi ya kupika aina mbalimbali za supu ya nyama na mboga mboga

    Yani mtu ambaye anasema hapendi sea food namshangaa , baharini mimi labda sili nguva tu na sea snakes. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Escaper

    Idara ya Usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo

    Hivi unawezaje kunywa mvinyo na mkeo familia ikiwa imezunguka dining room ikiwa unaua roho za binadamu wenzio?, unalalaje usingizi, unaabudu vipi? .. unafikia vipi kishindo na raha zote ikiwa umeshiriki kumnyima mwenzio haki hiyo milele. Kuna watu wana mioyo ya ajabu aisee. Sent using Jamii...
  4. Escaper

    Siri iliyofichika nyuma ya Sumaye na Lowassa kurudi tena CCM

    Nachoweza kusema hii ilikua coincidence tu, Kama CCM ingekua na majasusi nguli wanaokipenda chama wasingeweza kukubali kumkabidhi madaraka mtu ambaye anawagawa watanzania kivyama na kikabila na tena ashinde awamu ya pili mwaka huu 2020. Narudia hii ishu ni mambo ambayo hayakukusudiwa. Asante...
  5. Escaper

    CCM tawi la Michungwani limetenga sh 1,200,000 kwa ajili ya kumchukulia BERNARD C. MEMBER fomu

    Mwenyekiti wenu, !au unadhani mpaka kwenye mchakato wa uchaguzi atakuwa na nguvu ya urais.?? Ni huruma tu ya wazee wa jikoni ila CCM ikipania inamtoa itashinikiza wakuu walio ndani ya system kuondoa hili tatizo kwa maslai ya amani iliyoasisiwa na JK Nyerere. Kwahiyo huyo atakayepambana na...
  6. Escaper

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Matumizi mabaya ya umeme. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Escaper

    Nenda Lugola, Bodaboda watakukumbuka

    Hata magufuli akikubali kuachia kiti 2025 watu watamkumbuka sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Escaper

    Anayedaiwa kumuingiza nyeti mtoto mdomoni kuhukumiwa

    Anakuitia mwizi wauni wanakutia tairi. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Escaper

    Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

    Wakubwa mnajazana huku kusema pumzika kwa amani wakati akiwa mzima mliupita uzi , acheni unafki sasa unareply pumzika kwa amani anaona hiyo text?. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Escaper

    Huu utaratibu wa kupata Leseni ya Biashara kupitia Online Application...

    Mkuu weka kiutaratibu ulichopitia basi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Escaper

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mhamaji mwenyewe anatumia 'X' badala ya 'S' huyo sio shabiki bali ni mshangiliaji.., mimi hata iwe vipi sitohama united abadani sababu ndo timu yangu kufa na kuzikana.
  12. Escaper

    Marehemu Rais Mugabe aacha US dola Milioni 10 taslimu ktk Benki bila wosia wowote.

    Usd 10M?? Nadhani sio exactly figure ,ule mjumba wake wa Harare ni zaidi ya Usd 10M. Ana mipesa mingi sema hawaweki wazi.
  13. Escaper

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Tukiunga sisi wapiga zumari na wapokea buku 7000 inatosha.
  14. Escaper

    Halotel kunani?

    We ndo umemaliza, mwenye akili ajiongeze nini hitaji kubwa kwenye hizo parameters kwa sasa.
  15. Escaper

    CCM Waanza Njama za Kumtoa Mbunge Dr Mollel wa Siha kwa Uchonganishi.

    Ukweli na uwazi wa kutolipia makontena na bando unadunda??
Back
Top Bottom