Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
mbona kama mara ya mwisho kuonekana humu ni jmos mkuu ama macho yangu yana makengeza
Kweli kabisa. Hadi huruma.. very sad.Unaweza ukawa na shida ya ugonjwa lakini shida ya upweke ikawa kubwa zaidi kuliko ugonjwa.
Huyu kijana ni kama faraja yake alikua anaitafuta jamiiforum, huko alipokua alikosa watu wa karibu wa kushare nao anayopitia, wangekuepo wangempa faraja, wangemshauri na wangemwonyesha upendo
Pumzika kwa amani
Mkuu bora umekiri kwa kinywa chako mwenyewe. Maana ungenyamaza hata tusingejua kuwa jamaa aliwahi kukufuata PM. Kwa imani yangu naamini umesamehewa.Nasikitika sana @ mwamba aliwai nifata PM kuomba msaada wa dawa nlizo tumia kwa tatizo langu but nilimtajia majina na msg ya mwisho skumjibu najihisi kilifanya kitu kibaya japo skupenda maana Pm uwa zisifatilii kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums