Executive Diary
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 325
- 827
Napata Gb 1, dakika 100 Hallotel to Hallotel na msg unlimited kwa Tsh 1,000 kutumika ndani ya wiki.
We ndo umemaliza, mwenye akili ajiongeze nini hitaji kubwa kwenye hizo parameters kwa sasa.Voda - M pesa, Tigo - call & sms, Halotel- Internet.
hitaji kubwa kwa sasa kwa wateja ni DATA & Mobile money na ndiko wanakopiga pesa wote na sio calls na sms,We ndo umemaliza, mwenye akili ajiongeze nini hitaji kubwa kwenye hizo parameters kwa sasa.
Alafu saizi vifurushi vyao vinatembea kama vinasombwa na mafuriko.
Jana nimewapigia simu kulalamikia bando linavyotembea mwendo wa Hussein bolt wananiambia ngoja tumtafute mtaalamu wetu atakupigia tunachukua no.yako.
Mpaka leo hawajapiga.Hovyo sana siku hizi.
Unaungaje?Napata Gb 1, dakika 100 Hallotel to Hallotel na msg unlimited kwa Tsh 1,000 kutumika ndani ya wiki.
Unaungaje?
Kwahiyo mpaka uingie menu ya mpesa? Halafu vp hawali mbs?Halopesa
Hawa halotel na star time me nahis ni nduguMoja kati ya biashara ambazo zinaenda kwa promotion bila kupumzika mwaka mzima ni Telecom, ikifuatiwa na makampuni ya Bia, na Mabenki. Haipiti miezi mitatu utaona promosheni za bidhaa kutoka Voda, Tigo na Airtel.
Hasa mtanange kubwa nauona kwa Tigo na Vodacom; huyu akija na hiki, yule naye analeta chake, basi soko linachangamka na sisi watumiaji tunafaidikia na kurahisishiwa huduma mbalimbali.
Sasa hawa Wavietnam Halotel ni muda sasa, miezi kama miwili sikosei, sisikii matangazo yao redioni kwenye televisheni wala hawana bidhaa mpya sokoni, yaani hawana makelele kama wenzao ambao wako kwenye ushindani.
Maswali:
- Timu ya Marketing haina Mbinu/bidhaa ya kuinadi sokoni?
- Timu ya commercial wameishiwa mbinu/mikakati za kubuni bidhaa?
- Wameshindwa kuhimili soko la ushindani?
- Wanajihujumu wenyewe?
GB 2 MkuuGb ngapi mkuu
Ona sasa.Hawa jamaa ni shida siku hiziMimi Jana nimenunua kifurushi cha 2000 2GB Lakini mpaka kinaisha ubao ulikuwa unasoma 888MB Kwenye kipimo cha internet.
Hata wakiwa na matangazo yao hua hayavutii. Yani wanakuaga na creativity ndogo Sana kwenye tangazo kumshawish mteja mpya
Kwa wizi wa vifurushi voda ni BABA LAO.Hao voda na tigo wanazo hela za kuchezea tens nyingi ni za wizi wanawaibia sana wateja wao, Voda wanaiba kwenye vifurushi vya internet na tigo kwenye vifurushi vya maongezi tena voda ndio wamezidi yani GB 1 Ya voda usishangae ni Massa ma 3tu imekata, Kidogo halotel wapo fair sana kwenye dakika za maongezi na internet GB 1 ya halotel unaweza maliza 24 hrs tena hapo ume angalia video youtube mpaka umechoka still unazo data za kutosha, Voda ni kinyume chake.HAWA WANATAKIWA WAPIGWE BAN MIEZI 6 FOR POOR SERVICE OPERATION
GoodNapata Gb 1, dakika 100 Hallotel to Hallotel na msg unlimited kwa Tsh 1,000 kutumika ndani ya wiki.
Umesahau kusema na kupigana na RAMBO 😂😂😂Tangu lini waveitnam wakawa na akili ya biashara.
Wao wanajua kilimo cha Mpunga&pamba.
😂😂😂 TTCL niupuuzi kwenye internet last week nilikuwa na shughulikia ishu fulani ya serikali wametumia network ya TTCL kwenye hiyo project yao yaan ni mzigo tupu aifai hata.kampuni NAFUU ya simu za mkononi kwa kwa sasa nchini ni TTCL, iwe internet, kupiga , SMS, ukitaka kujiridhisha MTAFUTE MTU ANAYEMILIKI LAINI ya TTCL, usisikilize mtu anyekwambia kwa kudhania
mimi hata sasa hivi natumia internet ya TTCL , na kifurushi cha sh.2500 niliweka JUMAPILI leo JUMATANO😂😂😂 TTCL niupuuzi kwenye internet last week nilikuwa na shughulikia ishu fulani ya serikali wametumia network ya TTCL kwenye hiyo project yao yaan ni mzigo tupu aifai hata.
unakaa wapi ww? unasifia hivyo kumbe uko jirani na mnara wa simu kumbe. 😂😂mimi hata sasa hivi natumia internet ya TTCL , na kifurushi cha sh.2500 niliweka JUMAPILI leo JUMATANO