Recent content by Equation

  1. Equation

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Weka link group whatsappp member wa join
  2. Equation

    Kwaherini Zantel, vifurushi vyenu ni ghali mno

    Zantel c dhan kama wanaijua biashara vizuri ? Mm mwenyewe mhanga ktk hilo. Mteja yuko willing kutoa tsh 1500 kwa dakika 160 na Gb 1.5 kwa wiki leo unamuona ana maana. Uku ni kuwapoteza wateja wenu.
  3. Equation

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Wekeni link ya WhatsApp au ya Telegram nasi tujiunge na kujifunza Mambo mengi ya sheria
  4. Equation

    GE2020 Aggrey Deaisile Joshua Mwanri achukua fomu ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Siha

    Wale waliounga mkono Juhudi si ndio watakuwa wagombea wa CCM? au Mm naona Mollel bado ana Nafasi ya Kuwa Mgombea wa CCM kuliko Mzee wa Toronto kwa hilo Jimbo la Siha.
  5. Equation

    GE2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

    Ofisi za chama zitafungwa au wahusika kutokuwepo lengo kumkwamisha asiweze tekeleza dhamira yake ya kuchukua fomu hiyo J3
  6. Equation

    GE2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

    Yeye alishasema hajapewa barua yeyote ya kufukuzwa Uanachama. So yeye bado ajiona yu mwana CCM mwenye sifa za kugombea nafasi hiyo pendwa
  7. Equation

    GE2020 James Mbatia: Chama chetu cha NCCR Mageuzi kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini

    Je, watakao kuwa wabunge wapya wa NCCR Mageuzi Octoba 2020 wameshapewa maelekezo na Mwenye Kiti Mbatia kuhusu namna ya ruzuku Itakavyotumika? Isije tena baadae ikawa hivi au vile kuhusu ruzuku. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Equation

    Dstv mjipange!kwanini Msirushe live bundesliga hapo kesho??

    Kwa hali Jinsi ilivyo wataonyesha 2 hiyo Bundesliga Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Equation

    Liverpool katobolewa huku

    Arsenal mpaka anachukua Ubingwa wa Epl alikua hajafungwa. Lkn ktk msimu wake huo huo 2003/2004 Alifungwa na Utd na si kwamba Alimaliza ligi pasina kufungwa.
  10. Equation

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mwenye link ya group la Liverpool ambayo si Invoked aitume
  11. Equation

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii link mbona Inazingua imeshakua revoked so tutumie nyingine to join Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Equation

    Simu Infinix Hot 8 inauzwa, life battery 3 days

    Je kwa hot 8 infinix unaweza download app ambazo haziko playstore ? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom