NMB, CRDB kwanini wasifungue dirisha maalum lisilo na riba?

NMB, CRDB kwanini wasifungue dirisha maalum lisilo na riba?

N

Nakununulia IST kwa milioni 10 nakuuzia kwa milioni 14 hiyo wenyewe wanaita faida ila ni riba kwa namna nyingine.
Ndio wanachokifanya
Mindset...Naelewa ni matumizi tu tofauti ya maneno au lugha ya biashara kwenye makaratasi ya mikataba.

Everyday is Saturday................................😎
 
Kumbuka unapofanya biashara yoyote huwa unapenda upate pesa ileile uliyonunulia mzigo? Yaani bila faida?
Tunapaswa kuzitazama shughuli za kibenk kuwa ni za kibiashara na hiyo RIBA ndio faida za biashara zao!
Pia ni muhimu kukumbuka kuwa kuna benk zinakopeshwa fedha za mtaji toka Benk kuu, nako pia kuna marejesho yenye riba! Sasa tukisema wao wasitoze riba, je madeni yao watalipaje? Hata mkopo wako wenyewe unashughulikiwa na mtu na pia kwa kutumia resources kama Computer, printer, Internet,walinzi wa benk, umeme n.k!
Hivi vyote huwezi kuvitumia bila fungu la pesa, na hiyo riba ndio inayolipa gharama za mshahara na usafiri wa mfanyakazi wa benk na mlinzi.
Pia Internet na vingine na hapohapo walipe kodi na watowe na gawiwo kwa serikali! .....So it's impossible kuendesha benk bila riba!
 
Wao watanufaika nini na kuku mkopo usio na riba? Wafanyakazi wao na watalipwa mbinguni au hapa hapa? Watu walioweka hela na kutegemea interest zitajijaza zenyew?

Ndo unaambia hata huko ambako hakuna riba kuna hzo indirect riba ambazo unazilipa ili bank ijiendeshe. Kama hao wasio na riba unadhani kwanini hazijapendwa zaidi kuliko bank zenye riba?

Wanatekeleza Sunna
 
Kama ni hivyo biashara zingeshakufa, maana unanunua bidhaa kwa bei ya jumla sh. 5,000 halafu na wewe unauza dukani kwako hiyo hiyo 5,000 ili usimwekee mteja riba ukafanya dhambi....jambo la msingi ungesema wapunguze hizo riba zao ili watu wahamasike zaidi kukopa benki.
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
Bank zinajiendeshaje bila riba? Riba kwa bank ndiyo faida yao
 
mkuu sio lazima uende CRDB and NMB kuna benki zenu zile ambazo hazina riba unao uhuru wa kwenda kuchukua mikopo huko.
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
Hakuna bank isiyojiendesha kwa riba sio bank tu hata taasisi za kifedha pia zinajiendesha kwa mifumo ya riba, pesa wanayokupa leo kesho yake itashuka thamani mambo ya Value Of money today sio sawa sawa na value of money tomorrow kwahiyo ni lazima ulipe riba ili bank ijikwamue kiuchumi
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
Yani upewe hela na kurudisha hutaki kuwe na kaongezeko hiyo umesikia wapi
 
Nenda benki zisizo na riba, zipo zenye hiyo package NBC, Stanbic, Amana e.t.c siyo lazima kila package iwepo CRDB na NMB.

Everyday is Saturday................................😎
Bank hizo wanaziendeshaje je wana miradi?
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
hata Islamic bank zina riba ndio inayolipa umeme maji AC na wafanyakazi
 
Bank hizo wanaziendeshaje je wana miradi?
Wanabadili lugha maneno kama riba wanasema faida, basi inakuwa sheria ya dini haijavunjwa.

Kwa sababu hakuna mfanyabishara anayenunua glass 1,000 akaiuza kwa 1,000 ni kama ataiwekea riba ile ili arejeshe ataiuza 1,200, 1,000, mtaji na faida 200, ili kufidia usafiri, kodi, n.k.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Hadithi tu hizo, nilishaenda AMANA na PBZ kote huko nimepita unafiki tu. Hawatoi hela cash ila wanakununulia kitu unachokitaka kisha unalipa kwa faida
.mkuu sio lazima uende CRDB and NMB kuna benki zenu zile ambazo hazina riba unao uhuru wa kwenda kuchukua mikopo huko.
 
Wao watanufaika nini na kuku mkopo usio na riba? Wafanyakazi wao na watalipwa mbinguni au hapa hapa? Watu walioweka hela na kutegemea interest zitajijaza zenyew?

Ndo unaambia hata huko ambako hakuna riba kuna hzo indirect riba ambazo unazilipa ili bank ijiendeshe. Kama hao wasio na riba unadhani kwanini hazijapendwa zaidi kuliko bank zenye riba?
kuna tofauti kati ya biashara na riba,biashara huleta faida na biashara hutokea panapo kuwa na bidhaa na fedha kwahiyo fedha haiwezi kuwa bidhaa ikaleta faid!

Mfumo usio wa riba upo hivi benki ina nunua bidhaa inayo hitajiwa na mteja kisha wana muuzia mteja huyo kwa mkopo hapo benki lazima wata iuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu na ndipo wanapo pata faida na kuendesha shughuli zao!

Mfumo huu ni mzuri zaidi kwasababu mkopaji ana hepuka kutumia pesa alizo kopa kwa matumizi mengine ambayo haku yaombea mkopo hisika kwa kuwa anakuwa tayari anapata bidhaa aloikusudia,nime jifunza hayo nilpo jaribu kutaka kuufahamu mfumo huu wakuto kuwa na riba!

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
kuna tofauti kati ya biashara na riba,biashara huleta faida na biashara hutokea panapo kuwa na bidhaa na fedha kwahiyo fedha haiwezi kuwa bidhaa ikaleta faid!

Mfumo usio wa riba upo hivi benki ina nunua bidhaa inayo hitajiwa na mteja kisha wana muuzia mteja huyo kwa mkopo hapo benki lazima wata iuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu na ndipo wanapo pata faida na kuendesha shughuli zao!

Mfumo huu ni mzuri zaidi kwasababu mkopaji ana hepuka kutumia pesa alizo kopa kwa matumizi mengine ambayo haku yaombea mkopo hisika kwa kuwa anakuwa tayari anapata bidhaa aloikusudia,nime jifunza hayo nilpo jaribu kutaka kuufahamu mfumo huu wakuto kuwa na riba!

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Nikikopa milioni 10 NMB kwa miaka 5 nikanunua gari na kulipa milioni 14.
Na yule aliyenunuliwa gari ya milioni 10 na benki akalipa milioni 14 baada ya MIAKA 5 tofauti yetu nini?
 
Nikikopa milioni 10 NMB kwa miaka 5 nikanunua gari na kulipa milioni 14.
Na yule aliyenunuliwa gari ya milioni 10 na benki akalipa milioni 14 baada ya MIAKA 5 tofauti yetu nini?
Tofauti ni kuwa wewe ulikopa pesa taslimu na yule kanunua gari kwa mkopo!!

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom