The United Nations is following very closely the Tanzanian general elections of 25 October and congratulates the president elect.
We congratulate Tanzanians for exercising their democratic rights in a peaceful manner. We take note of the international observers statement (Commonwealth, AU, SADC...
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni...
Kuna watu wanachangia mada ka wao wamesoma nje ya nchi, et kurudishwa mwanafunzi nyumbani kwa kukosa ada leo imekua kitu cha ajabu.... Ebu jiulize wewe hujawahi rudishwa home kwa kukosa ada.
Ni kisi kwa walimu kuwaadhibu wanafunzi kwa kukosa ada, labda kuna makubaliano kati ya wazazi na...
Loveeeeeeeeeee, stupid mind game...... Umuwazae anawaza mwingine... Yani kama duara tuu unampenda huyu, nae anampenda yule yule nae anampenda mwingine........ Hiyo distance love ni maumivuuu tuuu..... Ni
Jana aliitwa jembe leo Dr mnamwitaa mnafiki, Prof Lipumba mhasisi na mwanzilishi na mtunzi wa jina UKAWA anaonekana mpumbavuu et kisa kaachia ngazi... Ivi sisi ni mashabiki tuuu au ni watu tunao hitaji maendeleo?????????
Mmoja alienda kwa mganga na kusema kila akimtokea dem anampiga chini so mganga akampa sharti la kuvaa shanga na ahakikishe kila anapo mtokea ajue kua ana shanga, so bdae jamaa akafanikiwa so may be ndo style
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.