Umejaribu kuongea nae, sio kudraw conclusion. Second kwa mahusiano ambayo hata 6 months hayajafika alafu tena ni long distance ni kazi sana kustawi. Unaweza jilaumu labda hauko lucky with rlships but kumbe ni mazingira. U need to know one another very well, spend time pamoja. Kama ni watu wa movie atleast mnaenda once per month au disco etc. Ukiona mwanaume anakupeleka movies, au weekends anakutoa out beach au anygood place without f@*cking you, he is into you. Kama ni yule mkitoka tu lazima hilo liwepo everytime, jua huyo si wa serious rlship