Atakayeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini

Atakayeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini

Epk

Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
20
Reaction score
13
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari.

Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA.

Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv).

Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama...Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi..

Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.

Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.

Tell them de true .
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.

Mkuu EPK. Nimekuvulia kofia kwa uandishi wako.
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.

Mkuu yaani umeongea ukweli mtupu. Nimepita huko barabarani nimeona wanaoshangilia huu ushindi ni watu ambao yaelekea hata mchana hawajala. Nimewahurumia sana.
 
Bahati mbaya hakuna kitufe cha LIKE. Pokea LIKE Mkuu. Nilishasema kuwa wanasema sisi tunaoshabikia upinzani tutaisoma namba, lakini sio sisi peke yetu. Tutakayoisoma namba ni pamoja na wananchi wote wanyonge wa Tanzania. Muda hauganganyi.
 
Mkuu yaani umeongea ukweli mtupu. Nimepita huko barabarani nimeona wanaoshangilia huu ushindi ni watu ambao yaelekea hata mchana hawajala. Nimewahurumia sana.

Na kwa jinsi walivyoiba utawala huu utakuwa mgumu kuliko unaotoka !
 
yani nimecheka hadi machozi. kusema ukweli hamna kuoneana huruma hospitali bila pesa hakuna matibabu tena madaktari wakaze kweli kweli. walimu na wenyewe wakaze kweli kweli. polisi wapige pesa kwenda mbele bandarini na TRA vivo hivyo. nina uhakika watu wa mjini wata survive ila huko bush tutegemee vifo tu
 
Maneno yako atakaeyakataa atakuwa hakufikria vizuri,kama leo asubuhi k/koo mama lishe mmoja na ma-thermos yake ya chai na uji na kapu la chapati katukuta tunaongea masuala ya kisiasa eti yupo "hapa kazi tu",nilimwangalia kosa kuwa na umri mkubwa ningemtukana.watanzania wengi hawaangalii kesho itakuwaje madhali wamepewa t-shirt kofia au kilemba cha kujifunga kichwani basi wanaona maisha wameyapatia, na ccm inawakamata kweli.
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.
Umenifurahisha na ulichoandika yaani basi tu. Viti virefu wrwe ni wapi nije kukupiga offer la nguvu? Hii mijimama inayonunuliwa kwa dera na kapero na mibaba tshurt na kapero wanafuraaaahi wanaona wamepata kumbe wamepatikana wala hayajijuivwala hayasomi hiyo namba. Hawaoni kwanza wamedhalilishwa. Mtu miaka 5 halu yako inazidi kuwa mbaya ahadi hakutimiza ht moja amekula kodi yako kwa miaka yote hiyo shukrani yake ndiyo hiyo dera 1. Badala wewe ndio uisome namba unashabikia. Anakukamua hv hv we unabwabwaja ovyo eti utaisoma namba. Yeye ushampa mtaji wewe ndio ubaki ukisoma namba gari ishasepa hiyo . Kajikunyate tena miaka 5 usubiri tena dera jingine. Hilo dera umelinunua mwenyewe kwa kodi yako lkn hujijui unadhani umepewa sababu ya kupenda vya kupewa. Nina usongo mpk mapovu yananitoka. Mmefanywa mitaji ya wengine mbafurahia tu. Sasa hilo dera ndio litakulipia ada ya mwanao, litakupatia dawa hosp, litakujengea barabara na mengineyo. KALAGHA BAHO NA UBOZI WAKO!!!!!
 
Usitukane watanzania ww unajua wale 6M waliompigia mgombea wako ni wa makundi gani. Punguza mihemko na uheshim maamuzi ya wengi.
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.

Upo sahihi sana. Mie nilileta uzi hapa juzi kwamba "WOTE TUTAISOMA NAMBA" japo wachache tu mfano hao ulio wataja. Tena nilisema UWE UMEICHAGUA AU HUJAICHAGUA utaisoma namba.

Leo nilikuwa offisini akaja Mwanafunzi mmoja anasoma SAUTI na anachangisha hela ili apate ada. Ki ukweli nilikuwa na hasira sana wakati waliahidiwa elimu bure mpaka level yake.
 
Mbowe hawezi kuisoma namba. Ana biashara zake plus mshahara wa ubunge. Lowassa pia ana hela zake. Mbatia mhandisi pia mbunge. Tundu Lissu advocate. Ana hela zake. Kushangilia eti UKAWA watakoma ni ujinga. Atakayeisoma namba ni yule ambaye akija hospitali ukamwambia hela ya kumuona daktari ni 6000 anapanic anaanza kuwalaum madaktari. Anaeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini, bima ya afya hana, hata hela ya kumshonea mwanae uniform hana. Anaeisoma namba ni yule ambaye hawez kuafford milo mitatu iliyo kamili kwa siku. Ni upuuzi kwa mtanzania wa manzese (asiyeweza kulipa ada ya shule ya 40k kwa mwaka) kusema Duni ataisoma namba wakati ana taaluma yake na pesa zake. Unaeisoma namba ni wewe ambaye tokea umemaliza chuo ni miaka mitatu huna kazi (halaf kwa upumbavu unashabikia hapa kazi tu). PUMBAVU SANA. Unaeisoma namba ni wewe ambaye mtoto wako akiumwa mafua tu huwez kuafford dawa. Asilimia kubwa ya waliomchagua pombe ni ile 30% ya watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umasikini (kipato cha siku kuwa chini ya dola za kimarekani 1.9.. sawa na sh 4000 hiv). Hawa ndo wanaisoma namba, miaka 54 ya uhuru bado wanaishi gizani, bado hawawez kupata maji safi na salama... Halaf walivyo wapumbavu wanashabikia hapa kazi tu.. Kweli ni kazi.. Maana kushindia mlo mmoja kwa siku so mchezo, ni kazi kweli. Kumnywesha mwanao mwarobain kwa sabab huwez kumudu bei za madawa, so mchezo ni kazi haswa haswa.
Kama watanzania wenyewe ndo hawa ambao hawajitambui, WE HAVE A LONG WAY TO GO.

hivi mimi ndo mgeni hasa kipi hasa lowasa amekifanya mpakaaa unakuwa mbumbu hivyo .. monduli unaijua wew , ilivyo maskin watu wanakunywa maji pamoja na wanyama
 
yani nimecheka hadi machozi. kusema ukweli hamna kuoneana huruma hospitali bila pesa hakuna matibabu tena madaktari wakaze kweli kweli. walimu na wenyewe wakaze kweli kweli. polisi wapige pesa kwenda mbele bandarini na TRA vivo hivyo. nina uhakika watu wa mjini wata survive ila huko bush tutegemee vifo tu
Mnapanga kufanya uasi wa kimya-kimya sio? Huyu sio Kikwete mliomfanyia hivyo. Mkifanya uasi wa makusudi kwa lengo la kuwakomoa wananchi, mtaona kitakachotokea, CMM ilijipanga na sasa magufuli amejipanga. Jaribuni muone.
 
hivi mimi ndo mgeni hasa kipi hasa lowasa amekifanya mpakaaa unakuwa mbumbu hivyo .. monduli unaijua wew , ilivyo maskin watu wanakunywa maji pamoja na wanyama

nlijua na majani kumbe wanyama........ lakini wale si jamii ya wafugaji au......
 
Nasubiri tu mbele kwa mbele mmoja aje apige mzinga kwangu, atajuta kunifahamu.
 
Usitukane watanzania ww unajua wale 6M waliompigia mgombea wako ni wa makundi gani. Punguza mihemko na uheshim maamuzi ya wengi.



At least walijaribu njia ambayo ingarahisisha maisha yao but na bado kura zao mmeziiba,ni wendawazimu mtu unapewa kofia na ki-tshirt au dela la tsh6,000/= kisha kumshangilia atakaekutia njaa kwa miaka mitano,inahitaji kujitoa ufahamu sio bure.
 
Usitukane watanzania ww unajua wale 6M waliompigia mgombea wako ni wa makundi gani. Punguza mihemko na uheshim maamuzi ya wengi.



At least walijaribu njia ambayo ingarahisisha maisha yao but na bado kura zao mmeziiba,ni wendawazimu mtu unapewa kofia na ki-tshirt au dela la tsh6,000/= kisha kumshangilia atakaekutia njaa kwa miaka mitano,inahitaji kujitoa ufahamu sio bure.
 
Back
Top Bottom