Akizungumza na redio one mda huu saa 4, mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe.kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja .
Alipo ulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.
Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.
Alipo ulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.
alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.
walipo muuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.
sourse.
Radio one,
Shost
Vipi kuhusu mnyika na baregu?hawakuuliziwa?
Ccm wanahangaika sana. Chadema tupo imara na wote niwamoja ccm msitumie propaganda chafu kujinufaisha
Ndani ya siku 10 CHADEMA wameshatoa kauli zaidi ya tatu tofauti kuhusu Dr. Slaa. Mwanzo walisema wamegawana majukumu hivyo Dr Slaa yuko ofisini anaendelea na kazi. Baadaye ikaja kauli kwa mtindo wa tuhuma dhidi ya Mke wa Dr Slaa, Josephine kuwa ameshikilia mateka mumewe. Wakati huo huo 'wakereketwa' sana wa CHADEMA 'mpya' wamekuwa wanasisitiza kuwa Dr Slaa anaanda mkutano wa CC. Sasa inakuja kauli kwamba Dr Slaa anapumzika!
Watanzania walalahoi wamepotea maisha, na wengine wamepata vilema vya maisha wakitetea CHADEMA na misingi yake ya kukataa ufisadi. Leo hii vipande thelathini vimewafanya Mbowe na wakubwa wenziwe waamini kuwa wanaweza kuwageuza-geuza Watanzania wote kama chapati! Haiwezekani.
Akizungumza na redio one mda huu saa 4, mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe.kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja .
Alipo ulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.
Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.
Alipo ulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.
alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.
walipo muuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.
sourse.
Radio one,
Shost
Hahahahha kamanda nimecheka karibu nipasuke. Kiukweli mimi kama member wa ukawa nimeshakubali matokeo zamaniii. Nimeshaona tumepigwa changa la macho na wajinga ndio tunaoliwa, hakuna jinsi. Tartiibu natafuta uelekeo. Nilikuwa napiga kelele za ufisadi mtaani mpaka natoa povu. Sasa hivi sina agenda, tukiongolea ufisadi natabasamu nakusema Tanzania nani kasema kuna ufisadi, una ushahidi kama huna Shut up!Ndani ya siku 10 CHADEMA wameshatoa kauli zaidi ya tatu tofauti kuhusu Dr. Slaa. Mwanzo walisema wamegawana majukumu hivyo Dr Slaa yuko ofisini anaendelea na kazi. Baadaye ikaja kauli kwa mtindo wa tuhuma dhidi ya Mke wa Dr Slaa, Josephine kuwa ameshikilia mateka mumewe. Wakati huo huo 'wakereketwa' sana wa CHADEMA 'mpya' wamekuwa wanasisitiza kuwa Dr Slaa anaanda mkutano wa CC. Sasa inakuja kauli kwamba Dr Slaa anapumzika!
Watanzania walalahoi wamepotea maisha, na wengine wamepata vilema vya maisha wakitetea CHADEMA na misingi yake ya kukataa ufisadi. Leo hii vipande thelathini vimewafanya Mbowe na wakubwa wenziwe waamini kuwa wanaweza kuwageuza-geuza Watanzania wote kama chapati! Haiwezekani.
Ndani ya siku 10 CHADEMA wameshatoa kauli zaidi ya tatu tofauti kuhusu Dr. Slaa. Mwanzo walisema wamegawana majukumu hivyo Dr Slaa yuko ofisini anaendelea na kazi. Baadaye ikaja kauli kwa mtindo wa tuhuma dhidi ya Mke wa Dr Slaa, Josephine kuwa ameshikilia mateka mumewe. Wakati huo huo 'wakereketwa' sana wa CHADEMA 'mpya' wamekuwa wanasisitiza kuwa Dr Slaa anaanda mkutano wa CC. Sasa inakuja kauli kwamba Dr Slaa anapumzika!
Watanzania walalahoi wamepotea maisha, na wengine wamepata vilema vya maisha wakitetea CHADEMA na misingi yake ya kukataa ufisadi. Leo hii vipande thelathini vimewafanya Mbowe na wakubwa wenziwe waamini kuwa wanaweza kuwageuza-geuza Watanzania wote kama chapati! Haiwezekani.
Kweli kazi ipooooo hapooooo
CCM mwaka huu watakoma kulinga sijui hii plan B yao ikifeli watafanya nini ?!! Lo hadi huruma mkuu CCM inavyoteseka.
kichwa cha habari, na uliyoandika ni tofauti..mbona mbowe hajasema slaa anapumzika
Mbowe ni muongo tu na hilo kishajidhihirisha siku nyingi.
Ngoja daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa amshukie kama alivyomshukia anaejiita Yericko Nyerere kwa uongo.