Kachelenga
Member
- Sep 11, 2012
- 26
- 6
Wakati Serikali ya CCM ikiamini hakuna mwanafunzi wa shule zake atakaefukuzwa shule kwa kukosa,Leo tarehe 14/09/2015 walimu wa shule ya Sekondary Kibamba wanapingana na Serikali ya CCM kwa kuwafukuza shule wanafunzi na kuwatandika viboko.
Inasemekana walimu wote waliokuwepo Staff room kila mwalimu alimchapa kila mwanafunzi bakora 2,tujiulize hao walimu walikuwa wangapi?Pamoja na kuwafukuza shule hao wanafunzi na kuwachapa bakora zisizo na idadi pia walimu hao walitoa maneno ya kashfa kwa wanafunzi hao.
Inasemekana walimu wote waliokuwepo Staff room kila mwalimu alimchapa kila mwanafunzi bakora 2,tujiulize hao walimu walikuwa wangapi?Pamoja na kuwafukuza shule hao wanafunzi na kuwachapa bakora zisizo na idadi pia walimu hao walitoa maneno ya kashfa kwa wanafunzi hao.