MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
Inna lillahi wa inna ilaihi raji'un.Ila itakuwa ilikuwa struggle ya aina gani kulikuwa hamna watu wa kutuliza jamani da!na hiyo stabbing ni kwenye moyo aaagh!Poleni sana wafiwa.Hayo ni majanga dabari dabari mi mwenyewe ni mtata sana kuanzia sasa nitaepuka confrotations.
Alimchoma kwa nyuma wakati akiondoka sehemu inaitwa wings pub Dodoma