Hivi chadema wakikwepa kodi kesho yake vyombo vyote vya dola mpaka jwtz ingelizunguka jengo la makao makuu ya chadema na ingekuwa breaking news,mpaka mwenyekiti wa ccm taifa ,angelihutubia taifa,maana maandamano tu mwenyekiti alihutubia taifa.
Wabunge wasiwafanye watanzania wajinga ,kwani katika hali ya kawaida mshahara unao weza kulipa mkopo wa milioni tisini kwa miaka mitano ni mshahara mkubwa sana ambao mafisadi tu wanalipwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.