Recent content by englibert

  1. E

    Uozo wa CHADEMA Hadharani

    Hivi chadema wakikwepa kodi kesho yake vyombo vyote vya dola mpaka jwtz ingelizunguka jengo la makao makuu ya chadema na ingekuwa breaking news,mpaka mwenyekiti wa ccm taifa ,angelihutubia taifa,maana maandamano tu mwenyekiti alihutubia taifa.
  2. E

    Toyota Starlet urgently wanted

    Nimeingiza hivi karibuni toka japani imeisha sajiliwa ipo kwenye hali nzuri sana ,na utaipenda
  3. E

    Toyota Starlet urgently wanted

    Lete m7 nikupe corona premio km88000 yr 2001 kila kitu kimelipiwa wewe nikuingia barabarani niandikie englibertm@yahoo.com
  4. E

    clouds FM on-line

    Mimi nimekuwa nikiwapata huu ni mwezi wa pili.
  5. E

    Babu Loliondo Apimwe Akili

    Wakupimwa akili ni wewe.
  6. E

    UGANDA VS MANYARA STARS: TV ipi itaonesha live?

    Naomba mnisaidie unakamataje tv on line.
  7. E

    Wabunge wa CCM kuweni wazalendo japo kidogo!

    Wabunge wasiwafanye watanzania wajinga ,kwani katika hali ya kawaida mshahara unao weza kulipa mkopo wa milioni tisini kwa miaka mitano ni mshahara mkubwa sana ambao mafisadi tu wanalipwa.
  8. E

    Naomba kujua juu ya Joyce Kiria

    This is private life mwacheni,nadhani ya kwenu yakiwekwa hadhalani,ni mabaya zaidi ya joyce.
  9. E

    Hii imekaaje wana jf : Vijana wapo kwenye kongamano kujadili katiba mpya........

    Wali amshwa saa 11 asubuhi kuja kuwahi viti ili kuwazuia wachangiaje wa kweli.
  10. E

    Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

    Hao wapya atawapata wapi? kwani kapu zima limeoza.
Back
Top Bottom