Babu Loliondo Apimwe Akili

:A S 465:.... Alipoianza safariii, walimtia moyo, alipoonyesha mafanikioooo, wakaibua vikwazo.....:A S 465:
 
Kwani jamani Loliondo mmelazimishwa kwenda? Si nyie wenyewe ndiyo magonjwa yenu ndiyo yanayowapeleka kwake, yeye ameshasema hakubandika bango popote pale ila ni uponyaji wake! Hakuna sababu ya kumpima akili, ila kama utaki usiende.

Babu ndio wa kupimwa akili, maana amewa-brainwash watu kwa kutumia advantage ya magonjwa yao.
 
wote walioenda na babu wanahitaji kupimwa akili
ila hao wagonjwa understandably wameenda out of desperation!

Contradicting statement.........kwani kuna mtu amekwenda kwa babu huku akiwa mzima? wote wanakwenda out of desperation.....hawaamini tena mfumo wa tiba wa kisayansi......wamekata tamaa na hospitali zetu!
 
Imani-Faith is belief with strong conviction; firm belief in something for which there may be no tangible proof; complete trust; opposite of doubt.
Atheist akisema Babu akapimwe akili sitashangaa! Lakini mtu anayeamini katika MUNGU akisema babu akapimwe akili nadhani yeye haina haja hata kumpima akili-ni kumpeleka milembe 1x1!
 
Contradicting statement.........kwani kuna mtu amekwenda kwa babu huku akiwa mzima? wote wanakwenda out of desperation.....hawaamini tena mfumo wa tiba wa kisayansi......wamekata tamaa na hospitali zetu!

Wamekata tamaa na hospitali zetu kwamba haziwatibu au wamekata tamaa kwa kuwa hakuna dawa ya magonjwa yao?
 
Wamekata tamaa na hospitali zetu kwamba haziwatibu au wamekata tamaa kwa kuwa hakuna dawa ya magonjwa yao?

magonjwa yao? how far are you sure that you are 100% healthy? kila mtu ni mgonjwa mtarajiwa iwe wa ukimwi, kisukari, kansa ha hata pressure. ni sawa na kumshangaa mtu aliyeko jela ukisahau everyone is a potential prisoner. The momement you try to put yourselves in the shoes of all these people going to loliondo you will understand how it is to be sick or to have someone dear to you suffering in pain. Bila kulijua hilo mtawaita majina yote, wagonjwa wa akili, wajinga, desperate n everything. But just remember, ajidhanie amesimama na ajiangalie asianguke maana kabla hujafa bado hujaumbika.
 
Hivi Serikali imefanya initiative zozote kumpima akili Mchungaji Mwasapile na je ni mtu anaetumia madawa ya kulevya au laa. Ni hatari saana kumuacha aendelee na huo mchezo wa kuwapa watu dawa ambayo inaweza kuja kuathiri afya za watu

Nadhani wateja/wagonjwa wake wanaofunga safari kwa taabu kwenda kumfuata Loliondo ni candidates wazuri zaidi wa kupimwa akili kuliko 'babu' mwenyewe!
 
Kwani jamani Loliondo mmelazimishwa kwenda? Si nyie wenyewe ndiyo magonjwa yenu ndiyo yanayowapeleka kwake, yeye ameshasema hakubandika bango popote pale ila ni uponyaji wake! Hakuna sababu ya kumpima akili, ila kama utaki usiende.
Hapo umenena Mzee wa Upembuzi!
 
.
Kati ya babu na serikali ikiwa ni pamoja na wewe ni nani wa kupimwa akili?
Waandamizi wa jk wameshapata kikombe na sasa ni zamu ya waandamizi wa Kibaki kama ulivyowashuhudia kwenye foleni kuanzia .ajuzi.
Kwa uzoefu wako wewe, katika mambo yahusuyo imani ni nani aliwahi kupimwa akili?
.
Kwanini hutaki apimwe? maana tutajua kama yuko sawa au la. Ukizingatia hatuwezi pima dawa yake, the best to be done ni kumpima yeye.Maana naweza akwa " aliota alichokiota" je aliota sahih?
 
magonjwa yao? how far are you sure that you are 100% healthy? kila mtu ni mgonjwa mtarajiwa iwe wa ukimwi, kisukari, kansa ha hata pressure. ni sawa na kumshangaa mtu aliyeko jela ukisahau everyone is a potential prisoner. The momement you try to put yourselves in the shoes of all these people going to loliondo you will understand how it is to be sick or to have someone dear to you suffering in pain. Bila kulijua hilo mtawaita majina yote, wagonjwa wa akili, wajinga, desperate n everything. But just remember, ajidhanie amesimama na ajiangalie asianguke maana kabla hujafa bado hujaumbika.

Oh, come on!!! Of course I didn't mean that and you know it! Why are you heading somewhere else? Sijasema "magonjwa yao" kama vile mimi ni mzima, bali ni kweli wanaumwa magonjwa tofauti na yasiyokuwa na tiba. Na ni kweli kwa mtu ambaye anamwamini huyo babu wa loliondo na haumwi hawezi kwenda huko maana hana ugonjwa unaomsumbua. My point is, wagonjwa wanaoenda huko kwa babu wako desperate, wanataka kupona. To be desperate isn't a sin. Most people are desperate even the ones who are not sick. A student can be desperate because time is moving and she/he is not ready for the exams, parents can be desperate because they don't have money to pay school fees for their kids, a graduate can be desperate because he doesn't have a job, niendelee na mifano au umeelewa? So wagonjwa wanaoenda kwa babu wako desperate kwa kuwa tayari wameambiwa na wataalamu kuwa magonjwa yao hayana tiba, that's why I am also AGAINST people who are saying wagonjwa wanaoenda kwa babu wapimwe akili maana wana akili timamu sema ni desperation inayowafanya waende huko. And just for the record, I am taking care of someone very close to me who has diabetic, hypertension, heart problems and stroke for the last 6 years, so I KNOW how it feels!!!!
 
Hili swala la babu hata mimi limeanza kunitisha especially baada ya kusoma thread ya 'majimoto' kwenye business column
mh!!inatisha mi naogopa mana wanaonihusu wengi wameshapata kikombe duu
hebu wakuu kama hamjasoma ile sred ya 'biashara ya uchawi' kasomeni muone alivyoandika huyu mdau
duu!!babu azua mambo
 
Mnaotaka babu apimwe akili nafikiri hamkufanya tafakari. Kama mngekua na hoja kweli labda mngeanza na kusema serikali ipimwe akili. Hivi unajua ni watu wangapi wanashughulika full time na kazi zinazomhusu babu- Wakuu wa mikoa, wilaya, afya, TFDA, NIMRI, Ujenzi, transporters, polisi etc. Hivi kama kuna hoja ya kupimwa akili nani apimwe akili?
 
I think the question here should be, je Babu anatibu au hatibu? Kama watu wanapona well and good lakini kama hawaponi there's no harm done. Desperation or no desperation everything remains "status quo'
 
Hivi Serikali imefanya initiative zozote kumpima akili Mchungaji Mwasapile na je ni mtu anaetumia madawa ya kulevya au laa. Ni hatari saana kumuacha aendelee na huo mchezo wa kuwapa watu dawa ambayo inaweza kuja kuathiri afya za watu

Mshukuru sana mola wako kwa kuwa wewe unayo afya njema. Wanaokwenda Loliondo kwa adha na tabu kubwa hawana bahati kama yako. Ina umiza sana kwa watu walipoteza matumaini kuambiwa kuwa 'babu' ambaye ndio kimbilio lao lililobaki kuwa akili yake inatia shaka. Kumbuka mwenye afya hahitaji tabibu mlio bahatika kuwa na afya zenu shukuruni Mola na wasaidieni wagonjwa kupata suluhisho la magonjwa yao badala ya kuwa acha njia panda.
 
Back
Top Bottom