Recent content by emmz'd

  1. E

    Minara ya mawasiliano katika eneo la shule

    Binafsi nimepitapita maeneo mbalimbali katika nchi hii nimekuta minara imejengwa katika maeneo ya shule,sasa nauliza shule hizo zinanufaika vipi na kodi hiyo ya minara maana shule ziko choka mbaya no body who care.
  2. E

    Polisi msimbazi aibu soma yanayotokea usiku

    Wako bize na taarifa za kiintelijensia kuhusu siasa za upinzani hayo mengine hayawahusu.
  3. E

    Alama(Landmark) walizoacha mawaziri wakuu wastaafu: Pinda tutamkumbuka kwa lipi?

    Kwa kutokuwa na maamuzi kama waziri mkuu na kwa kulia bungeni basi!
  4. E

    Siri ya kuvunja baraza la mawaziri yafichuka kumbe JK ndo alikuwa ang'olewe

    Binafsi nikishtukizwa kutaja majina ya marais walioongoza tanzania jk lazima nimsahau.
  5. E

    Zitto na pesa za sensa ya watu

    Wabunge wa ccm embu nanyie rudisheni hizo pesa hamtuonei huruma jaman. Nawasiwasi na kashillila na yeye atakuwa kajilipa.
  6. E

    Mwenyekiti wa CHADEMA Usa River auwawa kinyama

    Hili ni doa kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwani vina mamlaka ya kulinda usalama wa inchi pamoja na watu wake pia mali zao.
  7. E

    Madiwani wawe na Elimu isiyopungua kidato cha nne

    Mdau umuhimu wa kuanzia na madiwani ni mkubwa sana kwani katika halmashauri baraza la madiwani ndio wanaoandaa bajeti za halmashauri pia katika ripoti za CAG zimeonesha pesa zinaliwa/ibwa sana katika ngazi za halmashauri kutokana na umbumbumbu wa madiwani waliowengi,binafsi napendekeza madiwani...
  8. E

    CHADEMA yapoteza mvuto majimboni..Tumewachoka

    Wewe siasa ni ndani na nje ya bunge bila cdm wewe ungejua nini juu ya wizi wa mali za umma unaoendelea?cdm keep it up endeleeni kutujuza.
  9. E

    Udhibiti wa matumizi mabaya ya fedha za umma,je nini kifanyike?

    Mjadala unaendele ITV watch out wana jf jinsi mrema anavyotema cheche.
  10. E

    TOP TEN ya wasiohitajika kwenye Baraza jipya la mawaziri...

    Binafsi nataka kuona sura mpya katika baraza la mawaziri.
  11. E

    Mawaziri wa JK: Ngeleja na apartment ya $350,000

    Daah! Haya magamba mi yameshanichosha yanapiga pesa za wanainchi bila huruma kila siku skendo,kama wao wako hivyo mi nataka kufahamishwa mali za boss wao.
  12. E

    Sasa ni Professor Wilbrod Slaa

    Naunga mkono hoja.
  13. E

    Uchambuzi: Lema ni hatari, arudishiwe Ubunge

    Watajuta kwanini wamempa rikizo maana kwangu hiyo ni rikizo,kufanya siasg si bungeni tu tena bungeni wanabanwa na kanuni lakin huku kitaa ni ful kujiachia naomba rikizo yake isiishe maana napata somo zaidi ya kuingia lecture.
  14. E

    Malisa aandika historia saut

    Congrats malisa waoneshe kuwa wanasaut hawajafanya kosa.
  15. E

    Mh. Tundu lissu anena kabla ya hukumu asubuhi hii

    Huyo jaji atende haki wala asiingiliwe katika maamuzi ili kumfurahisha mkubwa fulani kwani wanaweza kufikiri wanamkomoa kumbe wanamkomaza kisiasa na kumuongezea sifa pasi na sababu yoyote ya msingi.
Back
Top Bottom