Recent content by EMM_411

  1. EMM_411

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Huu uzi ni kwa wenyeji tu ama na wageni? Mtu unapataje pair? Samahani kama hili swali litawakwaza
  2. EMM_411

    Lyrics + Wimbo wa Kala Jeremiah: "Dear GOD" Hizi Hapa

    Kama unatumia simu na huwezi ku download hizo Attachment basi soma Lyrics hapa chini: Intro: Rock town records Dear God let me to talk you cause am in jungle God I need your help I watch my back I see myself!! Verse: Asante Mungu leo ni siku nyingine, nakuja mbele yako baba nina ombi...
  3. EMM_411

    Lyrics + Wimbo wa Kala Jeremiah: "Dear GOD" Hizi Hapa

    Ukipenda, Bonyeza Like!!!
  4. EMM_411

    Watanganyika twende tukawafundishe siasa wazanzinzibari

    baba abdalah kumbe nawe siasa wazijua? Du? Mie napita tu,atleast leo nimekufumania!! Hahahahahahahaha karibu boko tule nyama ya mbuzi mwaka mpya huu!!!
  5. EMM_411

    Property Market in DAR...

    Hoja changieni lakinin hizi story za kuwa nyumba zinajengwa dar hivi sasa ni kali kuliko nyumba ziko paris, london etc nadhani ni psycho talk.
  6. EMM_411

    Guys, What would be your reaction if it were you?

    mambo mengine si rahisi kukoment, ila nimecheka, jamaa aliyesema anamuongezea dereva mshahara maana ana kazi mbili
  7. EMM_411

    Angalizo kwa Graduates wote na kaka/dadas Mliopo Vyuoni

    Nashukuru kwa kunielimisha,ubarikiwe! Basi naomba unipatie ruhusa ni copy hii makala yako,ni print then nikaibandike kwenye notice board maana kuna wengi ambao hatujui life after college huwa kunakuwaje,ili kuandaa mazingira mazuri ya kifikra so inabidi vijana tupewe hili somo!!
  8. EMM_411

    Watangazaji maarufu wa radio zetu

    1. Fred Fidelis 2. Ian Dialo (Gatro) 3. Mr Flava 4. Gadner G Habash 5. Anorld Kayanda Utangazaji wa siku hizi ni mwendo wa kubana pua tu, ila hawa hapo juu wanafanya vizuri zaidi, ubunifu wao ni wa kipekee especially huyo namba 1,pia namba 2. Huyu kijana wamwisho ni mtangazaji mzuri sana, ila...
  9. EMM_411

    Kutishiwa bunduki!

    Nina jirani yangu ambaye nyumba zetu zinatazamana tunaishi pamoja maeneo ya Bunju, leo jioni nilimtuma mwanangu akamfungulie ndama ambaye alikua amefungwa nyuma ya uzio wa nyumba yetu. kwa bahati mbaya hakumkuta ndama, ndama huyu alikuwa amekimbilia kwa jirani yangu. Mtoto wangu akaenda...
  10. EMM_411

    Hii Computer tatizo lake nini?? Naomba msaada....

    okay chkdsk naifahamu,ngoja nijaribu nayo pia!!!
  11. EMM_411

    Hii Computer tatizo lake nini?? Naomba msaada....

    asante,ngoja nianze na option 1 alafu nitamalizia option ya pili!! Ubarikiwe sana!!
  12. EMM_411

    Hii Computer tatizo lake nini?? Naomba msaada....

    Kuna computer nimeletewa na rafiki yangu nimfanyie Installation ya Windows,hii Laptop ni Dell D610,sasa nilianza kujaribu kuingiza Windows XP ikagoma,nikaamua kujaribu Ubuntu nayo ikadunda,nikajaribu Mandriva hapa ndo kabisaaaa ikashindwa hata ku-boot,Fedora ikakubali ku-boot lakini katikati ya...
  13. EMM_411

    Media Inapodhihaki Shida Za Watu Kwenye Siku Ya Wajinga

    mmeshadanganywa wote....... Fooools day!
  14. EMM_411

    Kuzuia baadhi ya mtu kutonipia cm

    kuhusu nokia 6300 sina uhakika kama inasupport ila inakubali zaidi kwa hizi symbian phones nyingi including e series,n series hata x series....
Back
Top Bottom