Rosweeter
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,171
- 4,432
<br />
<br />
IS IT SARA DIMBA ?OR DUMBA OR NDUMBA?
Its just a simple typing error, use your common sense
<br />
<br />
IS IT SARA DIMBA ?OR DUMBA OR NDUMBA?
Ephraim Kibonde
Hivi bado anatangaza?? Ni mwanaume au mwanamke, maana ile sauti haieleweki...Huyu kwenye bluu si mchezo nampenda sana aisee
<br />wakuu mimi ninapenda sana kusikiliza radio,nafikiri umefika wakati tuwapongeze watangazaji wa vipindi mbalimbali wanaojituma kufanya kazi zao kwa bidii na uhakika.<br />
<br />
Mimi napenda sana wafuatao:<br />
Juma Baragaza - Radio Free Africa<br />
Mbazigwa Hassan - TBC
Hivi yuko wapi huyu siku hizi na anaendesha kipindi gani?<i>mimi namsimamia rejina mwalekwa</i>
hahhaaaaah kimeo cha Kinyakyusa, hahahaaaaha wapi sugu !The incomparable Ephraim Kibonde
<br />wakuu mimi ninapenda sana kusikiliza radio,nafikiri umefika wakati tuwapongeze watangazaji wa vipindi mbalimbali wanaojituma kufanya kazi zao kwa bidii na uhakika.<br />
<br />
Mimi napenda sana wafuatao:<br />
Juma Baragaza - Radio Free Africa<br />
Mbazigwa Hassan - TBC