Asee stori ilikuwa nzuri sana, tumeyafahamu tuliyokuwa hatufahamu, hapa ni shetani alishuka mwenyewe kupigana mana si misukosuko hiyo walopata binaadamu wenzetu. Mungu awalaze pema wote walokufa kifo cha kikatili hivyo. Hakika stori imeumiza sana. Na mwisho hongera baba kwakupigana vita japo...
Nlichogundua ni muheshimiwa Raisi anaumia sana chadema kuwa na wabunge waliotoka kwenye mziki harafu ccm hakuna kwahiyo anataka afanye kila njia kuwaingiza hao vijana wawili bungeni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.