Recent content by Emaroli

  1. Emaroli

    Ujenzi wa nyumba: Budget ya milioni 25

    Naomba msaada wakujua japo maduka machache yanayouza vifaa bei rahis vya jumla hasa mabomba ya maji, umeme na tiles kwa Dar. Npo hatua ya kupauwa.
  2. Emaroli

    Edward Lowassa na Mkewe wafika kuhani Msiba wa Dkt. Magufuli

    Mungu ana maguvu sana.(in mwana FA voice)
  3. Emaroli

    Nini siri ya wamasai kwenye biashara ya sandals?

    Akilazwa mmoja hospital wote wanahamia hapo sijui kwanini?
  4. Emaroli

    My confession: Hornet is Positive

    Hongera wew ni jasiri sana, usikate tamaa ishi maisha yako ya furaha na amani
  5. Emaroli

    Sayansi yashindwa kwanini Afrika haijaathirika na Corona, sawa na nchi nyengine

    Yupo Mungu ambae ni mwana sayansi mkubwa aliye tupigania nasi tukanyamaza kimyaa......
  6. Emaroli

    Wabana matumizi plus, tunga bajeti yako hapa kwa vipato hivi ukiwa kama mwanafunzi chuoni

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahisha sana kiongozi. Poleee
  7. Emaroli

    Nimeamini Kariakoo bidhaa nyingi ni feki kwenye vipodozi ndio usiseme

    [emoji23][emoji23][emoji23]yenyew fake harafu iwe na fake tena
  8. Emaroli

    Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

    Asee stori ilikuwa nzuri sana, tumeyafahamu tuliyokuwa hatufahamu, hapa ni shetani alishuka mwenyewe kupigana mana si misukosuko hiyo walopata binaadamu wenzetu. Mungu awalaze pema wote walokufa kifo cha kikatili hivyo. Hakika stori imeumiza sana. Na mwisho hongera baba kwakupigana vita japo...
  9. Emaroli

    Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

    Pole yake sana dada Irene Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Emaroli

    Harmonize: A request of a boss is an order

    Nlichogundua ni muheshimiwa Raisi anaumia sana chadema kuwa na wabunge waliotoka kwenye mziki harafu ccm hakuna kwahiyo anataka afanye kila njia kuwaingiza hao vijana wawili bungeni Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Emaroli

    Nikiwaza tu jambo, hilo linatokea au nitaliona. Kulikoni?

    Nami naomba unitag kiongozi yananihusu haya
  12. Emaroli

    Maoni ya Kipanya: My Life My Secret....Why Sikupenda Kusafiri

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  13. Emaroli

    Uzi wa kusheherekea maisha ya hayati Dr. Reginald Mengi

    Kwanza kwanini jana hatukuwaona mapacha kwenye misa yenu ya shukurani?
Back
Top Bottom