Degelingi_One
Member
- Nov 17, 2018
- 72
- 121
Wana JF Heri ya mwaka mpya.
Usiku wa kuamkia mwaka mpya 2020 msanii Harmonize alikuwa na show kubwa katika mkoa wa Mtwara pale Tandahimba.
Pamoja na kupiga show kali iliyojaza watu wengi msanii huyo alisikika akisema Mwakani atafungua radio station "Tandahimba FM".
Atakuwa mwenyekiti wa timu ya Tandahimba. Hakuishia hapo aliwaahidi watu waliohudhuria kwenye show hiyo kuwa upungufu wa dawa katika hospital ya Tandahimba itakuwa historia.
Mwishoni aliwaimbisha watu waitikie "m Bungeee". Ikumbukwe katika sherehe za Nyerere day mwaka Jana mheshimiwa alimsifia sana akamuomba mwaka huu akagombee Ubunge Tandahimba.
Usiku wa kuamkia mwaka mpya 2020 msanii Harmonize alikuwa na show kubwa katika mkoa wa Mtwara pale Tandahimba.
Pamoja na kupiga show kali iliyojaza watu wengi msanii huyo alisikika akisema Mwakani atafungua radio station "Tandahimba FM".
Atakuwa mwenyekiti wa timu ya Tandahimba. Hakuishia hapo aliwaahidi watu waliohudhuria kwenye show hiyo kuwa upungufu wa dawa katika hospital ya Tandahimba itakuwa historia.
Mwishoni aliwaimbisha watu waitikie "m Bungeee". Ikumbukwe katika sherehe za Nyerere day mwaka Jana mheshimiwa alimsifia sana akamuomba mwaka huu akagombee Ubunge Tandahimba.