Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
- Thread starter
- #61
Lets say nitoe chumba kimoja , fence ibaki na finiashing ya kuridhisha 35millionKabisa japo finishing itakua ya kawaida
Lets say nitoe chumba kimoja , fence ibaki na finiashing ya kuridhisha 35millionKabisa japo finishing itakua ya kawaida
Somehow ni vile ujenzi ni mkoa wa Mara ningeku connect na fundi mmoja sema gharama zitazidiLets say nitoe chumba kimoja , fence ibaki na finiashing ya kuridhisha 35million
mkuu 35mil inatosha sanaa tuu ila Ni nyumba km nyumba pembeni ya fence nimejenga nyumba zenye requirements hizo Kwa range ya bei hizo kwa dar na arushaLets say nitoe chumba kimoja , fence ibaki na finiashing ya kuridhisha 35million
Hongera bossmkuu 35mil inatosha sanaa tuu ila Ni nyumba km nyumba pembeni ya fence nimejenga nyumba zenye requirements hizo Kwa range ya bei hizo kwa dar na arusha
Basi inabidi atafute wataalam zaidi kama vile akina Kingo Properties Ltd ambao wamejenga na wanauza nyumba ya vyumba viwili, choo, bafu na sebule kwa Milioni TANO NA NUSU huko Mwasonga, Kigamboni!ni nyingi sana ikiwa mkononi iweke kwenye utendaji uone ilivyo ndogo hio hela haiwezi tosha kukamilisha ujenzi woote kwa nyumba hiyo anayoitaka awe nangurukuru, tarime au karagwe cha kinachoweza kufanyika ni ujenzi wa awamu tu. Maana hiyo hela itaishia kwny grills na fremu za milango nymb nzima sana Sana na plumbing na Umeme akibana sana bado plaster nje, ndani bado tiles bado kufitisha masink
Makadirio hayo anayaweza Financial Analyst, lakini mimi kwa uzoefu wangu nasema inaweza kujenga nyumba; sasa ni mbwembwe kiasi gani utaweka ndani na nje ya hiyo nyumba, inaweza isitoshe! Halafu kwenye septic system siku hizi zipo za aina nyingi na cheap, sijui kuna za aina ya Urusi na nyingine ambazo ukiweka hakuna suala la kunyonya nyoka hayo maji taka! Hivyo gharama kwa kweli ni very subjective inapokuja kwenye ujenzi wa nyumba.Hiyo nyumba inahitaji mfumo wa maji safi na maji taka built from ground. Sidhani kama anategemea mfumo wa manispaa/public.
Swali langu la kwanza (nataka niende taratibu, ili niweze kujifunza kitu) Unaweza kuniambia/kukadiria gharama ya mfumo wa maji safi na majitaka?
a. Septic tank na karo au at least karo peke yake.
b. Kisima (na pump yake).
c. Elevated tank (tank na tower)
d. Pipes zote kwa ujumla
e. Fittings za bafuni, chooni (vyoo viwili) na jikoni.
Sure kabisaMakadirio hayo anayaweza Financial Analyst, lakini mimi kwa uzoefu wangu nasema inaweza kujenga nyumba; sasa ni mbwembwe kiasi gani utaweka ndani na nje ya hiyo nyumba, inaweza isitoshe! Halafu kwenye septic system siku hizi zipo za aina nyingi na cheap, sijui kuna za aina ya Urusi na nyingine ambazo ukiweka hakuna suala la kunyonya nyoka hayo maji taka! Hivyo gharama kwa kweli ni very subjective inapokuja kwenye ujenzi wa nyumba.
Kwa sababu ulivyosema inatosha, labda ulishawahi kujenga nyumba ya aina hiyo?Makadirio hayo anayaweza Financial Analyst, lakini mimi kwa uzoefu wangu nasema inaweza kujenga nyumba; sasa ni mbwembwe kiasi gani utaweka ndani na nje ya hiyo nyumba, inaweza isitoshe! Halafu kwenye septic system siku hizi zipo za aina nyingi na cheap, sijui kuna za aina ya Urusi na nyingine ambazo ukiweka hakuna suala la kunyonya nyoka hayo maji taka! Hivyo gharama kwa kweli ni very subjective inapokuja kwenye ujenzi wa nyumba.
Kama unaweza kwanini unauliza?Sure kabisa
First of all, read and understand the guy's comment. Stop being so complex.Kama unaweza kwanini unauliza?
Nilishawi kujenga lakini kukumbuka gharama leo siyo rahisi, lakini kwa kuona namna ujenzi unavyo kwenda na bei za vifaa na gharama za mafundi, bado naamini hiyo pesa inatosha, labda kama nilivyo sema mtu aweke mbwembwe za ziada!Kwa sababu ulivyosema inatosha, labda ulishawahi kujenga nyumba ya aina hiyo?
Ndio maana nikauliza kama wewe unakumbuka ulitumia kiasi gani?
Tupe ushuhuda bossKwa Mara sijajuwa ila kwa Mbeya unajenga nyumba nzuri tu kwa hicho kiasi
25m haitoshi hio nyumba ni kubwa,na kwa hizo points tisa ulizoweka Sio nyumba simple. Nyumba ya sqm156 sio ndogo.Hello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 25 millions. Kiwanja kipo tayari na eneo la ujenzi ni mkoa wa Mara.
Je hiyo budget inaweza kufinance ujenzi wa awali, kupaua na finishing katika nyumba yenye sifa zifuatazo:
1: Ukubwa wa mita 12 × 13
2: Master room moja
3: Single rooms tatu
4: Public toilet ya ndani moja
5: Average sized sitting room
6: Small dining room
7: Kitchen ya ndani ndogo
8: Fence
9: Isiyo ndefu kwenda juu (Bati chache)
Alisema hiviFirst of all, read and understand the guy's comment. Stop being so complex
Wewe ukasema hviMakadirio hayo anayaweza Financial Analyst
Sasa hapo si inamaanisha unajua? Au?Sure kabisa
Unajua ana familia ya watu wangapi?!?!!!!!Hiyo nyumba mbona kubwa sana? Vyumba vinne vya kulala vya nini vyote hivyo?
Hiyo hela inatosha nyumba ya vyumba viwili, sitting cum dinning, jiko na choo cha kushare. Hapo unamaliza kabisa.
Jambo la kuzingatia kama una hiyo fedha cash, nunua materials zote kwa jumla na fanya utafiti wa bei hasa mfano kuagiza vitu kama vifaa vya maji, umeme, bati, tires etc. Mfano unaagiza vyote DSM na bei ya usafirishaji kama 500k kwa pamoja utasave sana.
Usinunue materials mikoani kwa rejareja, hiki ndio kinakula fedha za finishing.
Yani nimecheka bila utaratibu nikajikuta watu wote wananitolea macho.Jf kuna mambo
Naomba msaada wakujua japo maduka machache yanayouza vifaa bei rahis vya jumla hasa mabomba ya maji, umeme na tiles kwa Dar. Npo hatua ya kupauwa.Hiyo nyumba mbona kubwa sana? Vyumba vinne vya kulala vya nini vyote hivyo?
Hiyo hela inatosha nyumba ya vyumba viwili, sitting cum dinning, jiko na choo cha kushare. Hapo unamaliza kabisa.
Jambo la kuzingatia kama una hiyo fedha cash, nunua materials zote kwa jumla na fanya utafiti wa bei hasa mfano kuagiza vitu kama vifaa vya maji, umeme, bati, tires etc. Mfano unaagiza vyote DSM na bei ya usafirishaji kama 500k kwa pamoja utasave sana.
Usinunue materials mikoani kwa rejareja, hiki ndio kinakula fedha za finishing.