Nini siri ya wamasai kwenye biashara ya sandals?

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,144
15,143
Hii kitu huwa najiuliza sana kwanini wamasai wanapenda zaidi biashara ya kutembeza sandoz (sandals) kuliko biashara zingine?

Siku za nyuma nilikua naamini wao ndio wanazitengeneza kumbe sivyo nao ni walanguzi tu. Hii imepelekea mpaka zipewe jina la sandals za kimasai wakati hawazitengenezi wao na wala hawazivai.

Kwanini iwe sandals tu au sababu wanapenda fimbo na sandals zinachomekwa kwenye fimbo? Niliwahi muuliza mmoja akaniuliza nanunua au sinunui?

Nikajua hali ya hewa itachafuka. Hebu wenye kujua tufahamishane labda wanamikataba na makampuni ya ngozi na wao ndio wenye ng'ombe.
 
Sijawahi kuona mmasai ameoa kabila lingine tofauti na mmasai mwenzake
 
Hii kitu huwa najiuliza sana kwanini wamasai wanapenda zaidi biashara ya kutembeza sandoz (sandals) kuliko biashara zingine?

Siku za nyuma nilikua naamini wao ndio wanazitengeneza kumbe sivyo nao ni walanguzi tu. Hii imepelekea mpaka zipewe jina la sandals za kimasai wakati hawazitengenezi wao na wala hawazivai.

Kwanini iwe sandals tu au sababu wanapenda fimbo na sandals zinachomekwa kwenye fimbo? Niliwahi muuliza mmoja akaniuliza nanunua au sinunui?

Nikajua hali ya hewa itachafuka. Hebu wenye kujua tufahamishane labda wanamikataba na makampuni ya ngozi na wao ndio wenye ng'ombe.
Nyingine ni ulinzi, wanatumikishwa hadi kwao ukienda Arusha utawakuta wamejazana kwenye mageti njiro
 
Sijawahi ona mmasai anakunywa chai na mkate....hii imekaaje mazee
 
Back
Top Bottom