Ujuwe nchi hii kila mmoja na ujanja wake wa kutafuta fedha... huyu jamaa na jopo lake wamefikiria jinsi ya kuboreha biashara zao wakaona hakuna njia nyingine...
Kazi kweli kweli, dunia hii sio ile ya miaka ile watoto sasa wamegeuka kuwa wakubwa leo hii mtoto wa chini ya miaka 18 ana uwezo kuliko hata mzee wa zaidi ya miaka 45 na ndio maana akakujibu yeye ni mswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.