Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ya kuifilisi Tanzania.
Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ya kuifilisi Tanzania.
hakuna kitu kianaendelea, umeme unakwatwa kila siku asbuhi mpaka jioni, nilitegemea serikali makini ikilichukulia swala hili kama la kipaumbele, lakini hawa ndugu wako busy wanatafuta hela ya kuwalipa dowans, serikali ya CCM mnatutesa sana, mmefeli tafadhali kaeni pembeni
Kweli kabisa sababu wao haliwagusi halina umuhimu kwao!!Hawatafuti pesa ya kuwalipa ila wanafuta vijisababu vya kuwaconvince wadanganyika wakubali kilaini!!Hata hivyo tatizo la umeme hawawezi kulipa kipaumbele kwasababu binafsi haiwagusi!