Mwenyew najiuliza sana hilo swali,but pengine kwa sababu ya hizo material zilikua scattered,then walivyozileta sehemu moja ikawa na effect kwny mzunguko huo wanaosemea wao
Mi sidhani kama Ramaphosa alikua na nia mbaya,alichokifanya ni kumsifia raisi kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake na kuwapenda watanzania thus why alikua hasafiri...ila huyu mkalimani alishindwa kuipata point ya Ramaphosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.