Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Teknolojia mpya
USIHANGAIKE KUCHIMBA MASHIMO KWA AJILI YA CHOO
Kwa watu ambao wamejenga maeneo ambayo ya maji mengi (high water table level-HWTL) kila ukichimba mashimo kwa ajili ya majitaka yanajaa maji na hivyo umeshindwa kuyajengea au huna eneo la kutosha kuchimba hayo mashimo au unataka nyumba na eneo lionekane nadhifu bila ya kuonekana chambers za maji taka na matank yake.
Suluhisho ni Bio Digester Decentralized System-BDS inafanya kazi zaidi ya septic tank, ni ndogo (ina mita 1 upana na mita 1 kina), haijai, ukiweka kwenye eneo lako haionekani maana unaweza kuichimbia chini na ardhi ikaonekana nadhifu, haina service mpaka miaka 50,maji yanayotoka yamekidhi viwango vya baraza la mazingira,rahisi kuiweka inatumia siku 3 tu. Tupo Dar, Dodoma na Mwanza lakini tunafanya kazi Tanzania na nje ya Tanzania.
System zipo za ukubwa tofauti kulingana na idadi ya watu, system ndogo kabisa ni kwa ajili yafamilia inaweza kukidhi watu 18.
USIHANGAIKE KUCHIMBA MASHIMO KWA AJILI YA CHOO
Kwa watu ambao wamejenga maeneo ambayo ya maji mengi (high water table level-HWTL) kila ukichimba mashimo kwa ajili ya majitaka yanajaa maji na hivyo umeshindwa kuyajengea au huna eneo la kutosha kuchimba hayo mashimo au unataka nyumba na eneo lionekane nadhifu bila ya kuonekana chambers za maji taka na matank yake.
Suluhisho ni Bio Digester Decentralized System-BDS inafanya kazi zaidi ya septic tank, ni ndogo (ina mita 1 upana na mita 1 kina), haijai, ukiweka kwenye eneo lako haionekani maana unaweza kuichimbia chini na ardhi ikaonekana nadhifu, haina service mpaka miaka 50,maji yanayotoka yamekidhi viwango vya baraza la mazingira,rahisi kuiweka inatumia siku 3 tu. Tupo Dar, Dodoma na Mwanza lakini tunafanya kazi Tanzania na nje ya Tanzania.
System zipo za ukubwa tofauti kulingana na idadi ya watu, system ndogo kabisa ni kwa ajili yafamilia inaweza kukidhi watu 18.