Nenda kwa dealers wa Canon, ofisi zao zipo Posta karibu na hospitali ya hindu mandali unaweza ukapata, hata kama hawana huwa wanaagiza kwa order ukilipa down payment
Mkuu nakushauri ujaribu pia hizi Nuts za almonds, nasikia zinasaidia pia, ila tatizo lake ukila unakuwa na hamu na kufanya tendo, jaribu kutumia hata kwa mwezi mmoja sio mbaya (ila bila kufanya tendo ili sperms zijae), huko Kariakoo wanauza 15,000 nusu kilo, sijui huko mwanza...all the best
Naipongeza TAKUKURU kwa kuchukua hatua ya awali ya kumshikilia mtuhumiwa huyo, ambapo jambo hilo litawafanya baadhi ya wahadhiri katika vyuo mbalimbali nchini wenye tabia kama hizo kujitafakari na kuacha tabia hiyo (huku wakijua arobaini zao zipo karibu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.