mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Haina tatizo lolote ,home button inafanya kazi vyema ni mpya ,nilireset settings na baadae nimekuja kuweka finger print inascan kisha ikamalizia kufeed kidole mwishoni kabisa inagoma kimstari kimoja ..nimejaribu kurestart kuzima na kuwasha ila tatizo liko pale pale..msaada please ..inakera