Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
kampala hamna kitu
sio dharau..nimepitia picha hizo ila hakuna kitu apo....kampala iko chini sana...vumbi tupu...jiji ni Nairobi,Dar,Mombasa....ata harare,luanda,accra na ile ya ivory coast safi sana...Kampala compare na arusha ama eldoretWapi kuna kitu!!?
wacha dharau
Duh mkuu ulikuwa shule gani? Mimi nimepiga NtindaViewNakivubo stadium....nimekipiga apo standard high vs st marry kitende
Mimi nilipiga ROYALE OASIS COLLEGE na CENTRAL COLLEGE NATEETEDuh mkuu ulikuwa shule gani? Mimi nimepiga NtindaView
Hapa Nairobi imetishasio dharau..nimepitia picha hizo ila hakuna kitu apo....kampala iko chini sana...vumbi tupu...jiji ni Nairobi,Dar,Mombasa....ata harare,luanda,accra na ile ya ivory coast safi sana...Kampala compare na arusha ama eldoret
Huyu ndio hana hata mpango wakuachia madalakaKampala ni mji mdogo ukilinganisha na miji kama Dar na Nairobi. I blame it on Museveni, his dictatorship is not helping Uganda tbh. Uganda is very under developed
Kuna kitu sijawai elewa, kwanini Bongo mnapenda kutumia 'l' badala ya 'r'. Madalaka badala ya Madaraka.Huyu ndio hana hata mpango wakuachia madalaka
Kwani wewe wa wapi hapa Afrika mashariki!? Tuanzie hapo kwanza!Kuna kitu sijawai elewa, kwanini Bongo mnapenda kutumia 'l' badala ya 'r'. Madalaka badala ya Madaraka.
Tatizo mwenyewe silijuiKuna kitu sijawai elewa, kwanini Bongo mnapenda kutumia 'l' badala ya 'r'. Madalaka badala ya Madaraka.
Kampala badoHata Iringa ya 2010
Sio yasasa ndugu mambo yanabadilika
nairobi ndio mji ukanda huu wa EA...wacha kukubali wivu, "blind patriotism" na chuki ya wakenya ikufunge macho kana kwamba unayo macho ila huoni....Hivi wewe umetembea kweli!!
uipongeze Nairobi kwa lipi!!
Hizi picha ziko very impressive,sio dharau..nimepitia picha hizo ila hakuna kitu apo....kampala iko chini sana...vumbi tupu...jiji ni Nairobi,Dar,Mombasa....ata harare,luanda,accra na ile ya ivory coast safi sana...Kampala compare na arusha ama eldoret