Nadhani Kama serikali imeamua kuchunguza vyeti vya watumishi ni wakati muafaka kuandaa Database ya watumishi woooote wakaanza na watumishi wa serikali kisha sekta binafsi ikiwezekana tuwe na database ya watanzania wote including vyeti vyote na shule mtu alizosomea, vitambulisho na namba zake...
If u wish to have a professional shared hosting quality in a free hosting package come and host with: Web hosting, domain names, VPS And experience the best service you can get ABSOLUTELY FREE.
Register now and get it all free:
i) 1,500 MB of disk space
ii) 100 GB of data transfer
iii) PHP...
Ukawa mnashida sana.. Zitto mlimtimua na mlishampa majina yote mabaya leo mnataka ashiriki upuuzi wenu wakijinga na utoto. Ni afadhali am-support JPM kwa uwajibikaji wenyetija tunaouona kuliko kumsupport Mbowe na genge lake.
Baada ya kutangazwa takwimu za matokeo ya Jiji la Tanga nilikiwa puzzled sn, ile nyomi yote mpaka watu kuzimia kumbe FEKI bana, kura zoote kwa Tingatinga, usoni kama watu kumbe moyoni unachekwa. Dah
Dah.! Naona kama ni mapema sana kwangu kuanza kurukaruka hapa nilipo mana naona kama ndoto vile. Zitto bungeni.?? Ni furaha iliyoje.!! Ngoja nisiseme mengi kesho ntapata majibu sahihi..!
Mi nilidhani nikweli nilipoaminishwa kuwa ACT ni mpini wa CCM kuimaliza nguvu CDM kumbe zilikuwa propaganda za Bavicha duh! Mi naamini kbs Act iko hapo ilipofika kwa influence ya zzk kwa 97% na nisimple logic kwamba majority ya wanachama na washabiki wa Act wako huko kwa imani waliyonayo kwa zzk...
Dah! Umenifurahisha sana kaka. Tatizo watu kibao wakishajiona wanafahamika kidogo tu tena na kakikundi ka watu wachache anaanza kujiamini na kuona kila kitu rahisi maadam nafahika. Kwa hili la Ben aisee What goes around comes around finally u've got what u deserve..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.