Picha:Hapa kwetu Ukonga hali ya joto ndiyo hii mchana huu!!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,347
5,986
Ni shida sana maana ata miti ya kupumzikia hakuna!!!
 

Attachments

  • IMG_20160108_153607.jpg
    IMG_20160108_153607.jpg
    128.2 KB · Views: 113
Hama huko mkuu. Huku kwetu Masaki kama tupo The Hague vile.
 
njoo huku Arusha
njoo huku Arusha
njoo huku Arusha
njoo huku Arusha
njoo huku Arusha
Arusha IPI.hili joto hulioni? Ukisikia mabadliko ya hewa ndio haya. Arusha mekuwa kama sudani moshi ndio kabisaa. Tutunze mazingira jamanii
Arusha siyo tena Maalapa kusemea, joto Utafikiri Upo Jangwani au Somali Land. Ni hatari tupu.
 
Back
Top Bottom